#COVID19 Watu karibu 700 wafariki kwa COVID-19 Ujerumani

Hali ya utalii itazidi kuwa ngumu hapa chuga tutaheshimiana tu..
Siku hizi maboss wa Tuaz nao wanauza nyanya..
 
Jana nlikuwa beach kigamboni nikaona mazee ya kizungu(yapo kwenye 70s au 80s) yanacheza na vibinti vibichi(20s) majini
Nikasema daah hawa wajinga wamekimbia huko lockdown na macorona yao halafu wakija huku wanajimix na watu ile noma
 
Hii corona itatuletea watalii wengi sana. Kipindi hiki kwao ni winter ndio itashika kasi zaidi.
Kwa sisi ni joto kali tutasurvive.

Pia tuna ulinzi wa MUNGU mwenyewe. MUNGU ni Mwema sana sana.

Tuwakaribishe waje washuhudie jinsi MUNGU anavyoweza kulinda Taifa lililochagua kumuamini maana wao waliacha siku nyingi kumuamini MUNGU.
 
Hata mwanzo watu walitahadharisha hivyo hivyo ndio maana nikauliza corona ile iliishia wapi hadi sasa tuna tahadharishana huo ujio wa pili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…