Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afunge mipaka mchele, mahindi vyote vibaki na bei ishuke hivo tu wala hakuna cha Ukraine hapa.
Uwe na njaa ulale we kweli poyoyo. Hiyo ni shibe km hujui.Watu wanasinzia tu sasa hovyohovyo kwenye daladala; ile mtu amekalia tu siti na gari kujitikisa kidogo tayari usingizi......na mara kadhaa udenda pia.
Panda daladala za routes zote sasa hapa Dar hali ni hiyo. Mtu anapanda buguruni sheli anashuka sokota lakini hafiki bila kusinzia. Nenda nje ya dar......pwani, Dodoma, lindi, mtwara hali ni hiyohiyo. Kesi za watu kupitishwa, sorry, kujipitisha vituo zimekuwa nyingi sasa. Mtu anazinduka usingizini tayari kapita kituo.
Haya ni matokeo ya uchunguzi wangu wa miezi mitano sasa katika maeneo niliyoyataja kwani nipo humo karibu kila siku. Dar ndipo uchunguzi wangu kwa kiasi kikubwa umefanyika (nimeichunguza dar kuhusu hili kwa 98%). Siku za nyuma hali haikuwa hivi kabisa.....
Mama Samia, hali hii imenipatia majibu kuwa ni kutokana na ugumu wa maisha mama; hali ngumu mtaani si mchezo.......vyakula haviliki, kwani wengi hawana uwezo wa kununua mchele kilo tshs. 4,000/= wala kununua maharage 3000/=.
Ada hakuna lakini mfumuko wa hivyo vifaa vya shule si mchezo.......wazazi hoooi.
Hali imekuwa tafrani kiasi watu wanaumwa lakini hata hawajui kama wanaumwa, wanatembea tu na kuhangaika.
Si mkulima, si asiye mkulima; wote hoooi.
Mama mswalie mtume, fikiria namna ya kutukwamua......kama vipi mazao yazuiwe tu kutoka nje kama zamani kwani kwa sasa hata wakulima wenyewe (nazungumzia hawa wadogo wadogo ambao ndo 99%) hawana hela wala chakula; kumbe wanaofaidika na ruhusa hii ni wafanyabiashara wa mazao ya chakula na wakulima wakubwa (ambao ni 1% tu).
Nawasilisha.
Mpelekee huu umbea mamako tena unakazia huu upupu bila aibu.Siyo fofofo mdau, ni mang'amung'amu tu
Ahsante mkuu waeleze ukweli wengine ni wajinga hata Yesu akirudi hawatamwelewaKulala au kupata usingizi ni majaliwa ya ulevi wa SHIBE.
Kuwa na njaa uone kama utasinzia.
N. B, Mama lishe na wapishi mbalimbali acheni kuweka hamira kwenye ubwabwa mnasababisha haya.
Wanatumia pumba kupikia ?Njoo nikuonesha mahali kunauzwa hadi ugali wa buku ni budget yako tuu
Kisheria konda anatakiwa kutangaza kila kituoKuna mmoja jana alitakiwa kushuka itv ,kutokana na kusinzia akashtuka gari likiwa mataa yakuingiaa makumbusho stend aisee alimtukana kondaa utafikirii konda ndio alimwambia alale
Unataka bei ishuke unajua bei ya mbegu na mbolea lakini?Afunge mipaka mchele, mahindi vyote vibaki na bei ishuke hivo tu wala hakuna cha Ukraine hapa.
Bila kusahau ngano.Tatizo ni kula ugali mkubwa au mihogo asubuhi.
Bei ya vyakula iko juu na sio rafiki kwa mlaji,Watu wanasinzia tu sasa hovyohovyo kwenye daladala; ile mtu amekalia tu siti na gari kujitikisa kidogo tayari usingizi......na mara kadhaa udenda pia.
Panda daladala za routes zote sasa hapa Dar hali ni hiyo. Mtu anapanda buguruni sheli anashuka sokota lakini hafiki bila kusinzia. Nenda nje ya dar......pwani, Dodoma, lindi, mtwara hali ni hiyohiyo. Kesi za watu kupitishwa, sorry, kujipitisha vituo zimekuwa nyingi sasa. Mtu anazinduka usingizini tayari kapita kituo.
Haya ni matokeo ya uchunguzi wangu wa miezi mitano sasa katika maeneo niliyoyataja kwani nipo humo karibu kila siku. Dar ndipo uchunguzi wangu kwa kiasi kikubwa umefanyika (nimeichunguza dar kuhusu hili kwa 98%). Siku za nyuma hali haikuwa hivi kabisa.....
Mama Samia, hali hii imenipatia majibu kuwa ni kutokana na ugumu wa maisha mama; hali ngumu mtaani si mchezo.......vyakula haviliki, kwani wengi hawana uwezo wa kununua mchele kilo tshs. 4,000/= wala kununua maharage 3000/=.
Ada hakuna lakini mfumuko wa hivyo vifaa vya shule si mchezo.......wazazi hoooi.
Hali imekuwa tafrani kiasi watu wanaumwa lakini hata hawajui kama wanaumwa, wanatembea tu na kuhangaika.
Si mkulima, si asiye mkulima; wote hoooi.
Mama mswalie mtume, fikiria namna ya kutukwamua......kama vipi mazao yazuiwe tu kutoka nje kama zamani kwani kwa sasa hata wakulima wenyewe (nazungumzia hawa wadogo wadogo ambao ndo 99%) hawana hela wala chakula; kumbe wanaofaidika na ruhusa hii ni wafanyabiashara wa mazao ya chakula na wakulima wakubwa (ambao ni 1% tu).
Nawasilisha.
Mi sijihusishi na aina hii yamaneno ya wavaa madera haya, najuachieni wenyewe.Mpelekee huu umbea mamako tena unakazia huu upupu bila aibu.
Shauli yako wewe endelea Julia njaa kama mtoto mdogo wakati mashamba yamejaa huku wewe unahangaika kutembeza earphones tatu na madoki mawili tandika.Subiri ukifika miaka angalau 20 ndo uchangie, saaa hv kachochee maharage jikoni huko.
Lina Lia Lia njaa kama toto dogoDogo nakukumbusha tu kua mvua sasa zinanyesha uende ukalime na wewe sio kulia lia hapa eti mama afunge mipaka ili mchele na maharage vishuke bei
Kama mji umekushinda rudi bush kalime uje uuze hizo bei unazotaka wewe.
Much know, knows nothing!
Nadhani katika utafiti wako ungejaribu hata kuonana na wataalam wa lishe uweze kupata uelewa na tofauti za njaa na uchovu.....Watu wanasinzia tu sasa hovyohovyo kwenye daladala; ile mtu amekalia tu siti na gari kujitikisa kidogo tayari usingizi......na mara kadhaa udenda pia.
Panda daladala za routes zote sasa hapa Dar hali ni hiyo. Mtu anapanda buguruni sheli anashuka sokota lakini hafiki bila kusinzia. Nenda nje ya dar......pwani, Dodoma, lindi, mtwara hali ni hiyohiyo. Kesi za watu kupitishwa, sorry, kujipitisha vituo zimekuwa nyingi sasa. Mtu anazinduka usingizini tayari kapita kituo.
Haya ni matokeo ya uchunguzi wangu wa miezi mitano sasa katika maeneo niliyoyataja kwani nipo humo karibu kila siku. Dar ndipo uchunguzi wangu kwa kiasi kikubwa umefanyika (nimeichunguza dar kuhusu hili kwa 98%). Siku za nyuma hali haikuwa hivi kabisa.....
Mama Samia, hali hii imenipatia majibu kuwa ni kutokana na ugumu wa maisha mama; hali ngumu mtaani si mchezo.......vyakula haviliki, kwani wengi hawana uwezo wa kununua mchele kilo tshs. 4,000/= wala kununua maharage 3000/=.
Ada hakuna lakini mfumuko wa hivyo vifaa vya shule si mchezo.......wazazi hoooi.
Hali imekuwa tafrani kiasi watu wanaumwa lakini hata hawajui kama wanaumwa, wanatembea tu na kuhangaika.
Si mkulima, si asiye mkulima; wote hoooi.
Mama mswalie mtume, fikiria namna ya kutukwamua......kama vipi mazao yazuiwe tu kutoka nje kama zamani kwani kwa sasa hata wakulima wenyewe (nazungumzia hawa wadogo wadogo ambao ndo 99%) hawana hela wala chakula; kumbe wanaofaidika na ruhusa hii ni wafanyabiashara wa mazao ya chakula na wakulima wakubwa (ambao ni 1% tu).
Nawasilisha.