Watu kuoga hadharani ni utamaduni au imani ya kishirikina?

Watu kuoga hadharani ni utamaduni au imani ya kishirikina?

Kuona matako ya wazungu wakiwa uchi kwenye movies hushangai wanavyoonwa na dunia nzima ila watu wanaooga ziwani ndo unashangaa???

Anyways, Kanda ya ziwa shughuli nyingi zinazohitaji maji hufanyika ziwani. Kufua, kuosha vyombo na kuoga ni mambo ya ziwani.
Itabidi uzoee tu. Si kukosa ustaarabu, ni kitu cha kawaida sana kwao. Hata maeneo yenye mito watu wengine huoga mtoni.
 
Ukiwa na muda Usiku wa Saa 8 jitegeshe mahala pale Mbezi Beach Makonde utamuoa Mzee Mmoja anatoka Kwake na Ndoo kisha anaoga haraka katikati ya Barabara na Kunya ( Kuukweka ) kidogo kisha anarejea Kwake Geti Kali Jirani na Chuo cha Taasisi ya Kiislamu kilichoungua mapema mwaka huu.
Siungi mkono suala la kujichukulia Sheria mkononi, lakini nikimbamba mtu wa aina hiyo sijui kama nitamwacha aondoke salama bila kumshikisha adabu!
 
Mkuu kwa sisi tuliokulia ziwani hiyo ni kawaida sana. Ila kuoga bafuni mlango wazi ni ushirikina.

Siku ukitembea Manyara au Mkoa wa Moro, utakutana na vijana wa Kimang'ti wao huoga mtu na dada yake au group mchanganyiko pamoja huko mtoni na kunyoana sehemu za siri live!!
Kuna siku niko zangu pori kwenye harakati, hamadi nikagumiana na familia ya kimang'ati wako uchi wote yaani baba, mama na watoto wako bize kukata miba ya kutengenezea boma mashuka wamefunga kichwani.
Kwenye jamii za kifugaji hasa hawa mang'ati, baba na watoto wa kike na kiume hulala pamoja kitandani. Baba haruhusiwi kulala na mkewe isipokuwa anaskilizia watoto wakisinzia ananyata anaenda kupiga trip chap kwa mke anarudi tena kulala kwenye group. Mwiko huwezi kumkuta mvulana kawaka tamaa kwa dada yake hata kama atamnyoa vuzi.
 
Mkuu kwa sisi tuliokulia ziwani hiyo ni kawaida sana. Ila kuoga bafuni mlango wazi ni ushirikina.

Siku ukitembea Manyara au Mkoa wa Moro, utakutana na vijana wa Kimang'ti wao huoga mtu na dada yake au group mchanganyiko pamoja huko mtoni na kunyoana sehemu za siri live!!
Kuna siku niko zangu pori kwenye harakati, hamadi nikagumiana na familia ya kimang'ati wako uchi wote yaani baba, mama na watoto wako bize kukata miba ya kutengenezea boma mashuka wamefunga kichwani.
Kwenye jamii za kifugaji hasa hawa mang'ati, baba na watoto wa kike na kiume hulala pamoja kitandani. Baba haruhusiwi kulala na mkewe isipokuwa anaskilizia watoto wakisinzia ananyata anaenda kupiga trip chap kwa mke anarudi tena kulala kwenye group. Mwiko huwezi kumkuta mvulana kawaka tamaa kwa dada yake hata kama atamnyoa vuzi.
Aisee!
 
Back
Top Bottom