Watu kuuawa kwenye Hifadhi laibuka Bungeni, Spika amwambia Ndumbaro alikuwepo Kagesheki kabla yake Akaondolewa na Kamati

Watu kuuawa kwenye Hifadhi laibuka Bungeni, Spika amwambia Ndumbaro alikuwepo Kagesheki kabla yake Akaondolewa na Kamati

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Leo Spika wa Bunge, Job Ndugai amempiga mkwara waziri wa maliasili na Utalii kutokana na kukanusha vifo kwenye hifadhi nchini, Spika amesema kabla huko nyuma alikuwepo Kagasheki ambae nae alikanusha lakini baadae kamati ya Bunge ikamfanya aondoke



========

Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amewataka askari wa TANAPA wawe na utu na sio kufurahia kuwapiga risasi raia wanaoingia hifadhini

Aifdha ameitaka wizara ya Maliasili ikae na askari wao kuchunguza madai ambayo yamekuwa yakitolewa kuhusu raia kuuawa hifadhini

Amesema kwa malalamiko ya sasa inaonesha maaskari ndio kama majangili kutokana na uadui. Amemtaka waziri asiwatetee kwa kuwa bunge linaweza kuunda tume ya kuchunguza malalamiko
 
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amewataka askari wa TANAPA wawe na utu na sio kufurahia kuwapiga risasi raia wanaoingia hifadhini

Aifdha ameitaka wizara ya Maliasili ikae na askari wao kuchunguza madai ambayo yamekuwa yakitolewa kuhusu raia kuuawa hifadhini

Amesema kwa malalamiko ya sasa inaonesha maaskari ndio kama majangili kutokana na uadui. Amemtaka waziri asiwatetee kwa kuwa bunge linaweza kuunda tume ya kuchunguza malalamiko
 
Ndugai hana usafi wowote bora akae kimya
At least ameongea la maana leo. Ile ya Kagasheki ilikuwa balaa halafu huyu ndumbaro awe makini sana hizi ishu zinazohusisha jamii zinazoishi karibu na mapori tengefu pamoja na Mbuga za wanyama.

Asiposhughulikia kwa umakini hatakaa muda mrefu, mawaziri wa Samia watakomeshwa sana na bunge. Amalize haya matatizo inaonekana askari wa misitu na wanyama pori ni tatizo kubwa sana kuna uonevu mkubwa mno badala ya kuwashirikisha wanavijiji wao inaonekana wanawaua na kuiba mifugo yao.

Huu sio utu, yani unaua kijana kwa ajili ya ng'ombe 30 au 100 kweli ng'ombe in exchange ya uhai wa mwanadamu?

Ndumbaro niangalie sana
 
At least ameongea la maana leo. Ile ya Kagasheki ilikuwa balaa halafu huyu ndumbaro awe makini sana hizi ishu zinazohusisha jamii zinazoishi karibu na mapori tengefu pamoja na Mbuga za wanyama.

Asiposhughulikia kwa umakini hatakaa muda mrefu, mawaziri wa Samia watakomeshwa sana na bunge. Amalize haya matatizo inaonekana askari wa misitu na wanyama pori ni tatizo kubwa sana kuna uonevu mkubwa mno badala ya kuwashirikisha wanavijiji wao inaonekana wanawaua na kuiba mifugo yao.

Huu sio utu, yani unaua kijana kwa ajili ya ng'ombe 30 au 100 kweli ng'ombe in exchange ya uhai wa mwanadamu?

Ndumbaro niangalie sana
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom