Watu kuuziwa simu za mkopo bila kujua

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
Ndugu ukinunua Simu hasa simu za smart phone kumekuwa na wimbi kubwa LA watu kuuziwa au kununua Simu huku akiwa hawajui kuwa ni za kulipia baada ya wiki au siku kadhaa Simu inalokiwa huku wakishindwa wafanyeje.

nyaje?
 
Hivi Kuna watu Bado wananunua simu mkononišŸ™ƒ
Uzi wenu huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…