Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,160
- 3,368
Surrogate sio kwamba mwanamke anawekewa mbegu za kiume bila kujamiana then anapata mimba? Nahitaji kujua zaidi.huyo wa Tyra banks sio wa kujifungua mwenyewe, ni wa surrogate. ni kama adopted child
Ndio Yule anayetuita Wapumbavu?Na yule mzee wanamuitaga "Lodi Lofa" nasikiaga eti naye hanaga mtoto thijui ni kweli?
Bashite wa KolomijeTujikumbushe watu maarufu kama wanasiasa, wanamuziki, wacheza filamu nk ambao hawakuwahi kupata watoto wa kuwazaa katika maisha yao hapa Duniani.
Wanaweza wakawa ni kutoka hapa Bongo au nje ya Bongo. Naanza na hawa:
1. Kamuzu Banda - Rais wa kwanza Malawi
2. Omar Al Bashir - Rais wa Sudan
3. Steven Kanumba
Unaweza ukaendelea na wewe...
Nicola Tesla
Duuh1. Dolly Parton
2. George Clooney
3. Janet Jackson
4. Condoleezza Rice
5. Cameron Diaz
6. Oprah Winfrey
7. Jay Leno
8. Tyra Banks
9. Queen Latifah
10. Jennifer Aniston
11. Mickey Rourke
Ummi Kurthum wa Egypt.Jaydee na wema wanaweza pata watoto jamani ,
wema bado mdogo ni juu ya nini? kwa mungu hakuna linaloshindikana ipo siku mtashangaa
kwan hana mtoto?
[emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] umewaza nini wewYesu kristo Mfalme wa Nazareth
Sent From My Nokia Ya Tochi
Anao wavulana wawili kwa Anna, wanaishi USA.Ndio Yule anayetuita Wapumbavu?
Sent From Mhenga Aliyesema Hasomeshi Wazazi
The best raper ever last, dead or live no one can be compared to the true legendary Lisane Gerand Crooks a.k.a Tupac Amaru ShakurHichi kichwa huwa nakosaga majibu nikimfikiria dah Anyway R.I.P The GOAT
Heshima yako muhenga.Asante sana mkuu, ninakumbuka hili tukio la kutembelewa na rais pamoja na mama Sekoture, nilikuwa primary darasa 3-4. Siku wa ninafahamu kuwa kijana akitoka Monduli lakini ninakumbuka mavazi meupe ya rais na mama Sekoture
jamaa alifanya mambo amakubwa sana duniani kitu ambacho hakipata ni hicho tu na inasemekana hakuwahi hata kufanya mapenzi maishani mwake