witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Heee hadi Lumumba?1. J. Edgar Hoover - Alikuwa Mkurugenzi wa kwanza wa FBI
2.Marilyn Monroe - Mrembo matata wa miaka ya 1950'a
3. Dr. Hasting Kamuzu Banda - Rais wa Kwanza wa Malawi.
4.Jenerali James Mattis - Waziri wa Ulinzi wa sasa wa Marekani.
5.Patrice Lumumba - Waziri Mkuu wa zamani wa Kongo.
Sent using Jamii Forums mobile app