Watu maarufu ambao hawakuwahi kupata Watoto Maishani mwao

Watu maarufu ambao hawakuwahi kupata Watoto Maishani mwao

Inaaminika Adolf Hilter alikuwa na watoto wawili. Aliwaona hawatakuwa jasiri km yeye akawaua
Ni uongo jamaa hakua na mtoto na wenzie kama vile speer,gorman na himmler walipomuuliza kuhusu ndoa na mtt alijibu hvi "i must never marry,am only married to the german state" "there is no need for me to bring a child in this world"hapo walikua BERGHOF nyumbani kwa hitrel source;youtube documentaries

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais Sekoture wa Guinea alitembelea Tanzania enzi za utawala wa Nyerere na aliondoka na mtoto wa kiume kutoka Msimbazi Centre. Rais Sekoture na mkewe hawakujaliwa mtoto. Sifahamu habari za yule mtoto baada ya hapo.
Ni Dr na amewahi kujaribu kugombea ubunge wa Monduli mara kadhaa ila sina uhakika kama ni huyo wa Msimbazi Center
 
I was looking for this reply.

One of the founding father of modern physics and mathematics. He laid the foundation for modern scientist like Albert Einsteen and others.

Never got married or have children.

Sir Isack Newton alikufa akiwa na umri wa Miaka 80 inasmekana alikufa hajawahi kuonja Mzigo ( alikufa Bikra )
 
Ja

Janet Jackon anaye sema Lionel Ritchie ( yule mtt wake ni wa kuasili)
Prof Lipumba
Mary Jeane (Marylin Monroe)
Lionel Anaoa watoto wa kuzaa ila first born Nicole ndio aliadopt
 
Sir Isack Newton alikufa akiwa na umri wa Miaka 80 inasmekana alikufa hajawahi kuonja Mzigo ( alikufa Bikra )
Aliwaza kuacha jina, hakuwaza kuacha watoto, maana angewaza ngono na watoto jina lake lingekua lishafutika duniani miaka mingi labda hata mitoto ingekuja kua mishoga na mingine malaya.
 
Mtoto wa mbeki SITO MBEKI haaaahaaaaaaaahaaaaaaa mtangazaj awe demu pale ITV atangaze ujio wa mtt wa mbeki
 
Rais Sekoture wa Guinea alitembelea Tanzania enzi za utawala wa Nyerere na aliondoka na mtoto wa kiume kutoka Msimbazi Centre. Rais Sekoture na mkewe hawakujaliwa mtoto. Sifahamu habari za yule mtoto baada ya hapo.
Yule ni mtoto ni Jamii ya Wamasai toka mkoa wa Arusha alikulia huko akasoma akarudi Tanzania kama Daktari na amekuwa na nafasi za juu hadi anastaafu amestaafu kama mganga mkuu wa mkoa wa Arusha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mumsamehe tu.

Ni matatizo ya watu wafupi, wako very very aggressive na wana tatizo kubwa la inferiority complex disorders.

Mimi nilishamsamehe maana najua tatizo lake. He was an inch away from becoming a dwarf.
Wee mzee wewe...yani presdaa wa zamani is an inch away from being dwarf..ahahaa. so he is almost 4 ft tall. Ahahaaahaaa.

kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu
 
Back
Top Bottom