Watu maarufu ambao hawakuwahi kupata Watoto Maishani mwao

Watu maarufu ambao hawakuwahi kupata Watoto Maishani mwao

Rais Sekoture wa Guinea alitembelea Tanzania enzi za utawala wa Nyerere na aliondoka na mtoto wa kiume kutoka Msimbazi Centre. Rais Sekoture na mkewe hawakujaliwa mtoto. Sifahamu habari za yule mtoto baada ya hapo.
Alikuwa daktari mkuu wa mkoa(mganga mkuu)wa arusha anaitwa Dr.SALASH TOURE na alishastaafu miaka kama 5 imepita.
 
Asante mkuu

IMG_20180429_133406.jpg

Dr. Salash Toure
 
Rais Sekoture wa Guinea alitembelea Tanzania enzi za utawala wa Nyerere na aliondoka na mtoto wa kiume kutoka Msimbazi Centre. Rais Sekoture na mkewe hawakujaliwa mtoto. Sifahamu habari za yule mtoto baada ya hapo.
Nakumbuka niliijibu hii. Kwa manufaa ya wengine. Sina hakika km. sababu ya kumchukua ni kwa kukosa mtotot kwa ningeweza chukua kwao. Alisomea Udaktari, Dr. Toure He is a very good. nice. kind Dr. Anaweza kusoma hii clip. Asante Dr. Ni mmoja wa madr. walionazilisha a bouncing baby boy. Mwingine ni Dr. Mlay. Nurse Maradhani???
 
Sir Elton Jonh
Marvin Gaye (marehem)
Tevin Campbell
Makondacta

Hawa labda wazalishwe
 
Wema hayupo kwenye kundi ilo kwa sababu alipata akaitoa so yule afaa aitwe mama wa marehemu
Tupe jina la huyo marehemu,atasubir sana....km alzani alye sema tufanye MTU kwa sura na mfano wetu....alkuwa mjombake atampata mwingne....
 
Back
Top Bottom