hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
duuuhh watu kwa kampeni...!!Hamishia tu huo upendo kwangu maana hata mimi namuelewa sana Pac
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duuuhh watu kwa kampeni...!!Hamishia tu huo upendo kwangu maana hata mimi namuelewa sana Pac
1. Dolly Parton
2. George Clooney
3. Janet Jackson
4. Condoleezza Rice
5. Cameron Diaz
6. Oprah Winfrey
7. Jay Leno
8. Tyra Banks
9. Queen Latifah
10. Jennifer Aniston
11. Mickey Rourke
Acha ujinga wewe
Luther Vandros.Tujikumbushe watu maarufu kama wanasiasa, wanamuziki, wacheza filamu nk ambao hawakuwahi kupata watoto wa kuwazaa katika maisha yao hapa Duniani.
Wanaweza wakawa ni kutoka hapa Bongo au nje ya Bongo. Naanza na hawa:
1. Kamuzu Banda - Rais wa kwanza Malawi
2. Omar Al Bashir - Rais wa Sudan
3. Steven Kanumba
Unaweza ukaendelea na wewe...
Alirudi tz akawa Mganga mkuu wa mkoa wa Arusha, enzi za kikombe cha babu Loriondo akikuwepo anaitwa Salash Toure.Rais Sekoture wa Guinea alitembelea Tanzania enzi za utawala wa Nyerere na aliondoka na mtoto wa kiume kutoka Msimbazi Centre. Rais Sekoture na mkewe hawakujaliwa mtoto. Sifahamu habari za yule mtoto baada ya hapo.
Ahahahah unapenda MachuchuHamishia tu huo upendo kwangu maana hata mimi namuelewa sana Pac
Wa kuzaa au kuasili?Hastings Kamuzu Banda alkua na watoto 3....no research no right 2 speak!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kashapata GabrielleGabrielle Union, Dwyane Wade welcome 'miracle baby' via surrogate.
Garielle Union naye hana Mtoto.