Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
!
!
mimi.
Yaani mpaka page ya 3 ya michango ya huu uzi hakuna aliyemkumbuka Edward Moringe Sokoine! Aliyekuwa Waziri mkuu wa Tanzania, alifariki kwa ajali ya gari akitokea Dodoma tarehe 12 April 1984. Alikuwa na miaka 46 wakati anafariki.
mkuu acha utani kwenye kifo walioimba kwetu pazuri wanajua waliyopata baada ya kuimba ule wimbo!
!
mimi.
Pamoja sana bila kumsahau NGWEAMtoto wa Dandu
Eddy Shaggy
Salim Abdallah Yazid
Motie Reginald
Steven Kanumba
Natina( Aliimba na Kurupt wimbo- Its over)
Hamis Amigolas( sina hakika kama alifikisha 50yrs mwaka huu)