Watu maarufu duniani waliofariki kabla ya kufikisha miaka 50

Watu maarufu duniani waliofariki kabla ya kufikisha miaka 50

Kibongo bongo kufa chini ya miaka hamsini ni kawaida sana. Watu wanakufa hovyo hovyo tu, kila siku misiba na maturubai kila kona. Watu wamezoea vifo mpaka mwenzao akifa hawashtuki kabisa, tena hawapati tabu ya kumwuliza daktari sababu ya kifo ni nini, wao wanafukia tu.

ni kweli mkuu, kibongo bongo tunachukulia kawaida sana
 
9.Princess Diana, miaka 36.
Alikuwa ni mke wa mtoto wa
Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa
ajali ya gari, wengi wanashuku
ajali hiyo ilipangwa.9.Princess Diana, miaka 36.
Alikuwa ni mke wa mtoto wa
Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa
ajali ya gari, wengi wanashuku
ajali hiyo ilipangwa........
........ Huyu princess Diana alikufa kwa ajali ya gari wakat akiwakimbia mapaparazi nchini ufaransa aligonga nguzo ya umeme. Hyo ni baada ya kuachana na mtoto wa malkia na kujiingiza kwenye mahusiano na jamaa flan hvi japo sikumjua vizr aliyekuwa anamchukua kwa kipind hicho

Jamaa aliyekuwa anamchukua anaitwa dodi al-fayeed kama sikosei baba ake alikuwa mmiliki wa fulham miaka hiyo!!
 
Rehema Mwakangale
Amina Mongi
Mwanachia
 
1.Aaliyah, miaka 22. Alikuwa ni mwimbaji wa muziki, alifariki kwa ajali ya ndege.
View attachment 212261

2.Malcom X, miaka 39. Alikuwa ni mwanaharakati wa haki za biinadamu. Aliuwawa.
View attachment 212262

3.Martin Luther King, miaka 39. Alikuwa pia mwanaharakati. Aliuwawa na watu wasiojulikana
View attachment 212263

4.Whitney Houston, miaka 49. Mwanamuziki. Alifariki kwa madawa.
View attachment 212264

5.2pac, miaka 25. ALikuwa mwanamuziki, Aliuwawa kwa kupigwa risasi.
View attachment 212265

6.Bob Marley, miaka 36. Mwanamuziki maarufu wa Reggae. Alifariki kwa Kansa.
View attachment 212266

7.Bruce Lee, miaka 32. Actor wa filamu za mapigano, sababu za kifo zake bdo ni utata mpaka leo.
View attachment 212267

8.John F. Kennedy, miaka 46. Rais wa Marekani. Aliuwawa kwa risasi.
View attachment 212268

9.Princess Diana, miaka 36. Alikuwa ni mke wa mtoto wa Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa ajali ya gari, wengi wanashuku ajali hiyo ilipangwa.
View attachment 212269

10.Ernest Che Guevara, miaka 39. Mwanamapinduzi wa Argentina. Aliuwawa na CIA.
View attachment 212273
Famous People Killed By The Illuminati



 
Last edited by a moderator:
Mzizimkavu uengelezea kidogo hii clips nadhani ingenoga sana na tuungelimika
 
Princess Diana alikufa mjini Paris Ufaransa kwenye tunnel (barabara ipitayo chini ya ardhi) baada ya kugonga vijiguzo vinavyokinga ukuta.
Alikuwa na boyfriend wake Mohammed "Dodi" Al Fayed, mwarabu wa Misri

Mkuu Mohammed ni jina la baba yake.. Yeye alijulikana kwa majina ya Emad El-Din Mohammed Abdel Moneim Fayed au kwa jina maarufu Dodi Fayed.. Baba yake ni tajiri maarufu aliekuwa anamiliki klabu ya Fulham mpaka mwaka jana alipoiuza..

Mpaka leo anaamini kuuawa kwa mwanae ni conspiracy kati ya royal family na M16..
 
Hongera yako,haya wewe umefanya nini mwenzetu kabla ya hyo miaka hamsini hyo!!
 
mkuu acha utani kwenye kifo walioimba kwetu pazuri wanajua waliyopata baada ya kuimba ule wimbo

Nini limewasibu mkuu kill? Fafanua kidogo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom