Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
edward sokoine
jk nyerere
Muhammad S.A.W miaka 38 kifo chake utata
Muhammad S.A.W miaka 38 kifo chake utata
Umekielewa kichwa cha habari lakini?
Vifo kadhaa hapo juu kama si vyote ni mkono wa mtu...
Wengi wao waliuawa kutokana na kukiuka masharti ya vyama vyao vya siri, harakati za kimapenzi n.k
Mkuu Mohammed ni jina la baba yake.. Yeye alijulikana kwa majina ya Emad El-Din Mohammed Abdel Moneim Fayed au kwa jina maarufu Dodi Fayed.. Baba yake ni tajiri maarufu aliekuwa anamiliki klabu ya Fulham mpaka mwaka jana alipoiuza..
Mpaka leo anaamini kuuawa kwa mwanae ni conspiracy kati ya royal family na M16..