Donald trumpSteven kanumba
Adam kumbiana
ismael mrisho
Max
Complex
Deo philipo
Salome joseph
Angel chibalonza
mangwer
langa kileo
Kinyambe
Sahihisha spelling za jina mkuu.Jim Leeves: mwimbaji wa muzik wa country alifariki kwa ajali ya ndege alifariki na miaka 45
!!!!.?Utakufa kweli ujue wewe...!!!
Kwenye hii list umemsahau aliyekuwa mpnz wa Complex marehemu Vivian Tilya a.k.a vi to the vy ,hakika huyu dada nilikuwa namkubali sana kwenye kazi yake utangazajiSteven kanumba
Adam kumbiana
ismael mrisho
Max
Complex
Deo philipo
Salome joseph
Angel chibalonza
mangwer
langa kileo
Kinyambe
Hank Williams sr
9.Princess Diana, miaka 36.
Alikuwa ni mke wa mtoto wa
Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa
ajali ya gari, wengi wanashuku
ajali hiyo ilipangwa.9.Princess Diana, miaka 36.
Alikuwa ni mke wa mtoto wa
Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa
ajali ya gari, wengi wanashuku
ajali hiyo ilipangwa........
........ Huyu princess Diana alikufa kwa ajali ya gari wakat akiwakimbia mapaparazi nchini ufaransa aligonga nguzo ya umeme. Hyo ni baada ya kuachana na mtoto wa malkia na kujiingiza kwenye mahusiano na jamaa flan hvi japo sikumjua vizr aliyekuwa anamchukua kwa kipind hicho