Watu maarufu duniani waliofariki kabla ya kufikisha miaka 50

Watu maarufu duniani waliofariki kabla ya kufikisha miaka 50

Daud bashite aka madekonda mbaya zaid Hakuw haTa na kifAranga alCho kitotoa
 
Steven kanumba
Adam kumbiana
ismael mrisho
Max
Complex
Deo philipo
Salome joseph
Angel chibalonza
mangwer
langa kileo
Kinyambe
Kwenye hii list umemsahau aliyekuwa mpnz wa Complex marehemu Vivian Tilya a.k.a vi to the vy ,hakika huyu dada nilikuwa namkubali sana kwenye kazi yake utangazaji
 
9.Princess Diana, miaka 36.
Alikuwa ni mke wa mtoto wa
Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa
ajali ya gari, wengi wanashuku
ajali hiyo ilipangwa.9.Princess Diana, miaka 36.
Alikuwa ni mke wa mtoto wa
Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa
ajali ya gari, wengi wanashuku
ajali hiyo ilipangwa........
........ Huyu princess Diana alikufa kwa ajali ya gari wakat akiwakimbia mapaparazi nchini ufaransa aligonga nguzo ya umeme. Hyo ni baada ya kuachana na mtoto wa malkia na kujiingiza kwenye mahusiano na jamaa flan hvi japo sikumjua vizr aliyekuwa anamchukua kwa kipind hicho

Ni dodi al fayed mwarabu nahisi ndio wenye chama la fulham FC huko uingreza
 
Back
Top Bottom