Watu maarufu duniani waliofariki kabla ya kufikisha miaka 50

ni kweli mkuu royal family kwa kiasi kikubwa inahusika ktk kifo cha diana
ni kweli mkuu royal family kwa kiasi kikubwa inahusika ktk kifo cha diana
Ilisemekana Lady Diana alikuwa na ujauzito wa yule rafiki yake Mwarabu.Sasa vile kwa royal family kuwa na damu ya lineage ya kiarabu kwao ni kashfa hivyo wakaona wamzimishe Diana
 
hicho kitu ni ujauzito kukomoa royal family
 
Ndugu mleta uzi mbona umemsahau Yesu Kristu aliyekufa akiwa na miaka 32 tu au yeye sio mtu maarufu kwa hii dunia?
 
aliuawa na usalama wa taifa wa uingereza M16 , ingekuwa aibu sana castle of kifalme kupata mjukuu nje ya ndoa tena kutoka uarabuni, video na documentaries zipo nyingi
 
upo sahihi sana hata mimi nimefuatilia sana youtube conspirancy ni hivyo hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…