Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamjamaa hakajafa hadi leo kanadunda sijui kanatumia mzizi gani km yule mzee wa kimasai aliefariki na miaka 120+Utakufa kweli ujue wewe...!!!
Sam wa ukweli.Mtoto wa Dandu
Eddy Shaggy
Salim Abdallah Yazid
Motie Reginald
Steven Kanumba
Natina( Aliimba na Kurupt wimbo- Its over)
Hamis Amigolas( sina hakika kama alifikisha 50yrs mwaka huu)
Mzee PembeSam wa ukweli.
Yeye na John RutayisingwaStanslaus Katabalo, alikufa akitetea ardhi ya Wamasai Loliondo isigawiwe. Sina uhakika na age lakini itakuwa early or late 30s.
huyu alifikisha miaka 63Muhammad S.A.W miaka 38 kifo chake utata
ni kweli mkuu royal family kwa kiasi kikubwa inahusika ktk kifo cha diana
Ilisemekana Lady Diana alikuwa na ujauzito wa yule rafiki yake Mwarabu.Sasa vile kwa royal family kuwa na damu ya lineage ya kiarabu kwao ni kashfa hivyo wakaona wamzimishe Dianani kweli mkuu royal family kwa kiasi kikubwa inahusika ktk kifo cha diana
hicho kitu ni ujauzito kukomoa royal familyAlikuwa ni people's princes hata umauti ulipomfika nilikuwa huko na jeneza lake nililishuhudia nilishtuka sana kwani alikuwa hana majivuno alikuwa anakuja na watoto wake bado wakiwa wadogo Mac Donald ya Kensington karibu na kwao, tatizo ni Prince nae akaamua kutembea na watu kadhaa kama major Hewitt aliekuwa anamfundisha kupanda farasi na Dr mmoja mpakistan na tajiri moja la mafuta mmarekani baada ya hapo ndipo akawa na Dodi mtoto wa bosi wa Fulham na aliekuwa mmiliki wa duka kubwa duniani (Harrod's) ambapo sasa limeuzwa. Kabla alisema atatangaza karibuni kitu ambacho dunia itashangaa,ndipo wakammaliza na Dodi pia
Haswahicho kitu ni ujauzito kukomoa royal family
Newton alikufa na miaka 85watu wa nguvu kipindi hicho.Sir Newton Isaac na mtoto wa Mungu Jesus Christ.The topmost brilliant to mention.
aliuawa na usalama wa taifa wa uingereza M16 , ingekuwa aibu sana castle of kifalme kupata mjukuu nje ya ndoa tena kutoka uarabuni, video na documentaries zipo nyingi9.Princess Diana, miaka 36.
Alikuwa ni mke wa mtoto wa
Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa
ajali ya gari, wengi wanashuku
ajali hiyo ilipangwa.9.Princess Diana, miaka 36.
Alikuwa ni mke wa mtoto wa
Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa
ajali ya gari, wengi wanashuku
ajali hiyo ilipangwa........
........ Huyu princess Diana alikufa kwa ajali ya gari wakat akiwakimbia mapaparazi nchini ufaransa aligonga nguzo ya umeme. Hyo ni baada ya kuachana na mtoto wa malkia na kujiingiza kwenye mahusiano na jamaa flan hvi japo sikumjua vizr aliyekuwa anamchukua kwa kipind hicho
upo sahihi sana hata mimi nimefuatilia sana youtube conspirancy ni hivyo hivyoMkuu Mohammed ni jina la baba yake.. Yeye alijulikana kwa majina ya Emad El-Din Mohammed Abdel Moneim Fayed au kwa jina maarufu Dodi Fayed.. Baba yake ni tajiri maarufu aliekuwa anamiliki klabu ya Fulham mpaka mwaka jana alipoiuza..
Mpaka leo anaamini kuuawa kwa mwanae ni conspiracy kati ya royal family na M16..