Watu maarufu duniani waliofariki kabla ya kufikisha miaka 50

Nini limewasibu mkuu kill? Fafanua kidogo
hao wanakwaya wanaitwa Ambassador waliimba kwetu pazuri baadaye ya kama wiki kadhaa wakapata ajali wakafa wawili yupo yule mwanamuziki aliimba kifo huna huruma yuko wapi leo acha utani na kifo mkuu
 
Duniani tunapita na muda wao uliisha,Mengineyo ni visingizio tu
 

ni kweli mkuu royal family kwa kiasi kikubwa inahusika ktk kifo cha diana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…