Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesu_Miaka 33
acha urongo alikufa akiws na miaka 63
Muhammad S.A.W miaka 38 kifo chake utata
Natamani nikutukanie mama yakoHeshimu imani za watu
Heshimu imani za watu
Utata kivipi ni uroho, Kuna Nyama ilikuwa na sumu ilitegwa maana ilipikwa vizuri na mke wake aliyekuwa ni Myahudi... nasikia baada ya kuzikwa Nguruwe na Mbwa walifukua na wakaila mikono hadi leo hii ni haramu. Na Wayahudi ni adui hadi leo
Alikuwa ni people's princes hata umauti ulipomfika nilikuwa huko na jeneza lake nililishuhudia nilishtuka sana kwani alikuwa hana majivuno alikuwa anakuja na watoto wake bado wakiwa wadogo Mac Donald ya Kensington karibu na kwao, tatizo ni Prince nae akaamua kutembea na watu kadhaa kama major Hewitt aliekuwa anamfundisha kupanda farasi na Dr mmoja mpakistan na tajiri moja la mafuta mmarekani baada ya hapo ndipo akawa na Dodi mtoto wa bosi wa Fulham na aliekuwa mmiliki wa duka kubwa duniani (Harrod's) ambapo sasa limeuzwa. Kabla alisema atatangaza karibuni kitu ambacho dunia itashangaa,ndipo wakammaliza na Dodi pia
John mjema,
Mtoto wa dandu,
Mtoto wa whitney houston
Mapadr,maaskofu kila siku wanasilimu nyinyi mtabakia na chuki zenu propaganda bila kuuzungumzia uiaslamu mada inakuwa haijaisha