Watu maarufu duniani waliofariki kabla ya kufikisha miaka 50

Watu maarufu duniani waliofariki kabla ya kufikisha miaka 50

9.Princess Diana, miaka 36.
Alikuwa ni mke wa mtoto wa
Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa
ajali ya gari, wengi wanashuku
ajali hiyo ilipangwa.9.Princess Diana, miaka 36.
Alikuwa ni mke wa mtoto wa
Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa
ajali ya gari, wengi wanashuku
ajali hiyo ilipangwa........
........ Huyu princess Diana alikufa kwa ajali ya gari wakat akiwakimbia mapaparazi nchini ufaransa aligonga nguzo ya umeme. Hyo ni baada ya kuachana na mtoto wa malkia na kujiingiza kwenye mahusiano na jamaa flan hvi japo sikumjua vizr aliyekuwa anamchukua kwa kipind hicho
Dodi, baba yake ni miliionea alikuwa anamiliki Harrods aliuza share zake. Ana asili ya Misri.
 
tumblr_nbhgal14oU1svkorco1_500.png


SimMain.jpg


screen-shot-2014-09-06-at-11-18-51-am.png

Huyu alijitundika kitanzi baada ya kufulia..
 
Hamisi Mangarea, Jioni Marumbo, Hellena Marumbo, Ghati Ryuba, Bukinga Ndege, Pili Ndege, Haruna Onyango

May Almighty God rest their soul in peace
 
9.Princess Diana, miaka 36.
Alikuwa ni mke wa mtoto wa
Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa
ajali ya gari, wengi wanashuku
ajali hiyo ilipangwa.9.Princess Diana, miaka 36.
Alikuwa ni mke wa mtoto wa
Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa
ajali ya gari, wengi wanashuku
ajali hiyo ilipangwa........
........ Huyu princess Diana alikufa kwa ajali ya gari wakat akiwakimbia mapaparazi nchini ufaransa aligonga nguzo ya umeme. Hyo ni baada ya kuachana na mtoto wa malkia na kujiingiza kwenye mahusiano na jamaa flan hvi japo sikumjua vizr aliyekuwa anamchukua kwa kipind hicho
Jamaa aliyekuwa anatoka naye ni mtoto wa bilionea wa Uingereza mwenye asili ya Misri. Aliitwa Dodi El Fayed na familia yao inamiliki timu ya EPL na chain of supermarkets. Princess Diana alikuwa anafanya kazi za kusaidia masikini hasa watoto waliokatika miguu kwa mabomu ya kutegwa ardhini huko Angola. Alikuwa model na alikuwa kwenye uhusiano mbaya na mumewe Prince Charles.
 
Kumbe, ahsante mkuu.

Vibao vyake vimetulia sana.

Kuna kibao chake kimoja cha kuitwa Made to love you kwa kweli kimetulia mno.

Cause I was made to love you...
My hands to touch you...
My arms to hold you...
My legs to stand...
My time to spend...

My lips to kiss you...
My eyes to see you...
My legs to stand...
Bonge la song aisee
 
Bonge la song aisee
We bwana weee, we bwana weee.

Hiki kibao kwa kweli kila ninapokisikiliza huwa kinaniingia sana, hebu tukisikilize, maana umenifanya nijisikie kukisikiliza.

 
We bwana weee, we bwana weee.

Hiki kibao kwa kweli kila ninapokisikiliza huwa kinaniingia sana, hebu tukisikilize, maana umenifanya nijisikie kukisikiliza.


Jamaa anaonyesha ufundi haswaa katika kuimba, na sauti yake ni murua kabisa.....
 
Jamaa anaonyesha ufundi haswaa katika kuimba, na sauti yake ni murua kabisa.....
Idara zote ametulia.

Ukisikia kipaji, hiki ndio kipaji.

Kwa kweli kipaji alikuwa nacho
 
Back
Top Bottom