chumvichumvi
JF-Expert Member
- May 6, 2010
- 1,207
- 311
Mbona Yesu na Mtume S.A.W hujawataja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtume alikufa akiwa na miaka 63Mbona Yesu na Mtume S.A.W hujawataja
Alikua kijana mmoja wa kiarabu tajiri sana na inasemekana ajali ilitengenezwa na familia ya kifalme ili kuepusha aibu9.Princess Diana, miaka 36.
Alikuwa ni mke wa mtoto wa
Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa
ajali ya gari, wengi wanashuku
ajali hiyo ilipangwa.9.Princess Diana, miaka 36.
Alikuwa ni mke wa mtoto wa
Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa
ajali ya gari, wengi wanashuku
ajali hiyo ilipangwa........
........ Huyu princess Diana alikufa kwa ajali ya gari wakat akiwakimbia mapaparazi nchini ufaransa aligonga nguzo ya umeme. Hyo ni baada ya kuachana na mtoto wa malkia na kujiingiza kwenye mahusiano na jamaa flan hvi japo sikumjua vizr aliyekuwa anamchukua kwa kipind hicho
Amina Chifupaduuuh hamna mbongo
Alikuwa na ujauziito wa mwarabu piaAlikua kijana mmoja wa kiarabu tajiri sana na inasemekana ajali ilitengenezwa na familia ya kifalme ili kuepusha aibu