Coaster2015
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 2,607
- 2,730
Hiyo hiyo inaitwa "weka mbali na watoto"Usisahau Jeipiemu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo hiyo inaitwa "weka mbali na watoto"Usisahau Jeipiemu
Mkuu J, Wabongo huwa ni kazi sana kuelewa madaMkuu uko sahihi ila hii ni timu, si mtu mmoja.
Mkuu umeniacha hapa...
Ulikuwa unataka kumaanisha nini?
Sawa sawa ChifuHayo mambo mawili ni sahihi kabisa mkuu ila hayaendani na maudhui ya uzi huu.
Little pea..kipindi kaja united akiwa dogodogo alikuwa ananikosha sana rohoJavier Hernandez - Chicharito
Kwahiyo kumbe ukimwacha Mami hao jamaa wengine wa xxl ni kutoka kaskazini??..Hamiss Mandi=B12,Kenedy Frank Urio=Kenedy the Remedy,Marium Mdoe=Mamy Baby,Omary Said=DJ D-Ommy,Pancrass Mayala=Askofu Tza,
Robert Nesta Marley - Bob Marley