Watu maarufu Tanzania waliozaliwa nje ya Afrika

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681

1. Jokate Mwegelo - Washngton DC, Marekani mwaka 1987.


2. Haji Sunday Manara - Uholanzi, mwaka 1975.


3. Ruge Mutahaba ( R.I.P) Marekani, mwaka 1970.​

4.........
5.........

Twende kazi
 
Wakuuu , MTOA mada Yuko sahihi.

Yaan hapa anachotaka watu msiwe serious sana.

Tuwataje tu, maana hata tukiwataja, haituongezei Tonge la ugali Wala kutupunguzia.



Binafsi, Nmezaliwa Tanzania, Kanda Ziwa, Kijijini Ndani Ndani huko.

Kwa bahati mbaya Sina hulka ya kufatilia watu, hivo Sijui nani kazaliwa wapi labda wenzangu tulotokea Kijijini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…