Kiazi wewe Juma Lokole kazaliwa hapa hapa mtoto wa Sinza yule.Dotto Magari....... 1968 Haiti
Juma Lokole.....1981 Bangladesh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiazi wewe Juma Lokole kazaliwa hapa hapa mtoto wa Sinza yule.Dotto Magari....... 1968 Haiti
Juma Lokole.....1981 Bangladesh
Mtanikumbuka !Mwenda (rip) - Burundi 1900s
Hana hivyo vigezo, so ni mbongo nyuyokiKwa hiyo otomatikale Jokate Mwegelo ni raia wa Marekani!
Unajua maana ya maarufu? Naona mpaka machangudoi siku hizi ni maarufu!View attachment 3016591
1. Jokate Mwegelo - Washngton DC, Marekani mwaka 1987.
View attachment 3016590
2. Haji Sunday Manara - Uholanzi, mwaka 1975.
View attachment 3016592
3. Ruge Mutahaba ( R.I.P) Marekani, mwaka 1970.
4.........
5.........
Twende kazi
🤣🤣🤣Mwijaku malawi
Dr.Yahaya Nawanda...uhamishoniWakuuu , MTOA mada Yuko sahihi.
Yaan hapa anachotaka watu msiwe serious sana.
Tuwataje tu, maana hata tukiwataja, haituongezei Tonge la ugali Wala kutupunguzia.
Binafsi, Nmezaliwa Tanzania, Kanda Ziwa, Kijijini Ndani Ndani huko.
Kwa bahati mbaya Sina hulka ya kufatilia watu, hivo Sijui nani kazaliwa wapi labda wenzangu tulotokea Kijijini.
Mkuu serious🤣Dotto Magari....... 1968 Haiti
Juma Lokole.....1981 Bangladesh
Kwa hiyo otomatikale Jokate Mwegelo ni raia wa Marekani!
Acha wivu dogo. Haya nawe umezaliwa nje ya nchi kwenu Kyabakari basi au Ukonga Ulongani.Wakizaliwa nje ya nchi - so what?
Hahaaaaaaaa, huyu ni Deleted01 akiingia JF anatukataza tusioe.
Ni Arusha kwa mbele.Hivi Kenya ni nje ya Tanzania?