Watu masikini 40,000 wavunjiwa Nyumba zao kupisha ujenzi wa barabara ya matajiri

Watu masikini 40,000 wavunjiwa Nyumba zao kupisha ujenzi wa barabara ya matajiri

Chinese backed Nairobi express way road toll", hii ni public road?, Someni hiyo "article" wazi kabisa inasema hiyo barabara inayojengwa ni private road, pia inasema wazi kwamba wanaotumia private cars ni 20%, wanaotembea kwa miguu kutokana na umasikini ni 45%
Wewe unafuata article ama ukweli? Does the Nairobi Expressway pass through Mukuru Kwa Njenga?
 
Chinese backed Nairobi express way road toll", hii ni public road?, Someni hiyo "article" wazi kabisa inasema hiyo barabara inayojengwa ni private road, pia inasema wazi kwamba wanaotumia private cars ni 20%, wanaotembea kwa miguu kutokana na umasikini ni 45%
So barabara ikiwa ni toll road it automatically becomes a private road? Wewe shenzi type kabisa
 
Note:
1) 45% ya wakazi wa Nairobi hutembea kwa miguu kwa kukosa nauli ya matatu
2)40% hutumia matatu
3)Hutumia usafiri binafsi
4)0.2% Hutumia train

MY TAKE: Kenya raia wa chini hathaminiki kabisa, vipi hapa JF wakenya wanaifurahia hii barabara ya Mchina ambayo haina faida kwa raia walio wenge?

"Where shall I be this time tomorrow"
By Ngugi wa Thiong'o.
Tony254

99% ya Wakazi wa Nairobi wanaotembea, huishi karibu na maeneo yao ya biashara, wala sio kukosa nauli.
Nonsense.
 
Umesoma vizuri hiyo "article ya The Guardian?", tatizo ni kubomolewa kwa Nyumba za watu masikini kupiisha ujenzi wa barabara ya watu binafsi"Private road", Kama wangepisha "public road, Hospital, au ujenzi wa huduma yoyote ya jamii yenye kuwasaidia wananchi wa kawaida, hayo ndio yangekua ni maendeleo, huko kwenu mnathamini matajiri zaidi kuliko masikini

Barabara ya watu binafsi ni gani? Kuna watu ambao watakatazwa kupitia?
Barabara ya kuingia kwako ni binafsi. Ya kuingia chooni mwako ni banafsi. Bongolala ata concept ya toll road ni ngumu kwenu.

Wewe punguza ujinga na wivu.
 
Wewe unafuata article ama ukweli? Does the Nairobi Expressway pass through Mukuru Kwa Njenga?
Ukweli ni upi Kati ya "Creidible internationally recognized Newspaper na unaosemwa na watu wa mtaani na hapa JF?
 
Barabara ya watu binafsi ni gani? Kuna watu ambao watakatazwa kupitia?
Barabara ya kuingia kwako ni binafsi. Ya kuingia chooni mwako ni banafsi. Bongolala ata concept ya toll road ni ngumu kwenu.

Wewe punguza ujinga na wivu.
Ninajua kwamba uwezo wenu wa kufikiria ni mdogo Sana, lakini ninajitolea kuwaelimisha.
Nairobi Hospital ni Hospitali binafsi, Kenyatta Hospital ni Public Hospital.

Japo kote huko wagonjwa hulipia matibabu, lakini pesa inayopatikana Nairobi Hospital, inaingia mifukoni mwa watu binafsi, serikali inapata Kodi pekee, wakati pesa inayopatikana Kenyatta Hospital, yote inaingia serikalini.
 
Si this same tanzanian idiots one time walituringia na ile toll road wakonayo sasa sahii ni wivu ya expressway inawasumbua
Ujinga wenu wekeni pembeni, toll road za Tanzania zote ni public projects, pesa zinaingia serikalini, huko kweni pesa yote inaingia mifukoni mwa watu binafsi.
 
99% ya Wakazi wa Nairobi wanaotembea, huishi karibu na maeneo yao ya biashara, wala sio kukosa nauli.
Nonsense.
Hahahaha, kwahiyo 45% ya wakenya wanaishi karibu na maeneo ya biashara?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],
 
So barabara ikiwa ni toll road it automatically becomes a private road? Wewe shenzi type kabisa
Kwahiyo Nairobi Express way inajengwa na serikali sio wachina ambao wataimiliki kwa muda wa miaka 30 hadi pesa Yao itakaporudi?. Wewe na hao "The guardians" nani anakukunya katika mifuko ya plastic?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama ni kwa maendeleo wacha wapishe tu tunahitaji kuwa na miji mziri iliyopangika vizuri miaka ya baadae Africa.
 
Kwahiyo Nairobi Express way inajengwa na serikali sio wachina ambao wataimiliki kwa muda wa miaka 30 hadi pesa Yao itakaporudi?. Wewe na hao "The guardians" nani anakukunya katika mifuko ya plastic?[emoji23][emoji23][emoji23]
Do you know the meaning of the word private road bongolala?
 
Kama ni kwa maendeleo wacha wapishe tu tunahitaji kuwa na miji mziri iliyopangika vizuri miaka ya baadae Africa.
Maendeleo gani wakati ni biashara ya wachina ambayo haitengenezi ajira, Wala haina "any significant positive Economic impact for normal citizens.
 
Ukweli ni upi Kati ya "Creidible internationally recognized Newspaper na unaosemwa na watu wa mtaani na hapa JF?
So "internationally recognized newspaper" can even change the course of a road from what everyone knows iihamishe kwingine? Kwa hivyo The Guardian inaijua Nairobi kuliko sisi wenyeji? Eti wakisema expressway inapitia Mukuru basi Ni hivyo hata kama Ni uwongo? For the second time, wewe Ni shenzi type kabisa!
 
So "internationally recognized newspaper" can even change the course of a road from what everyone knows iihamishe kwingine? Kwa hivyo The Guardian inaijua Nairobi kuliko sisi wenyeji? Eti wakisema expressway inapitia Mukuru basi Ni hivyo hata kama Ni uwongo? For the second time, wewe Ni shenzi type kabisa!
Kuishi karibu na majengo ya University hakukufanyi kujua zaidi kuliko wageni ambao ni wanafunzi katika hiyo University, punguza ukunya wako
 
Wewe ni meffi, hakuna expressway inajengwa mukuru kwa njenga, tuulize sisi wenyeji tukuambie kunajengwa Nini na uwachane na githeri media ya UK .
Wewe slum dweller, Rudi kwenye slum yako ukakukunye kwa Mafi ndani ya mifuko ya plastic, hauwezi jua kitu yoyote[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom