Watu masikini 40,000 wavunjiwa Nyumba zao kupisha ujenzi wa barabara ya matajiri

Watu masikini 40,000 wavunjiwa Nyumba zao kupisha ujenzi wa barabara ya matajiri

Yeah. It's closer to 80% for the whole of Kenya.
For Nairobi, certainly around 50%.
What should I call you my friend Kunyamen. So there is no need for public transport in Nairobi, why do you have all those stupid old model matatu, still you are dreaming for BRT?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ninajua kwamba uwezo wenu wa kufikiria ni mdogo Sana, lakini ninajitolea kuwaelimisha.
Nairobi Hospital ni Hospitali binafsi, Kenyatta Hospital ni Public Hospital.

Japo kote huko wagonjwa hulipia matibabu, lakini pesa inayopatikana Nairobi Hospital, inaingia mifukoni mwa watu binafsi, serikali inapata Kodi pekee, wakati pesa inayopatikana Kenyatta Hospital, yote inaingia serikalini.

Kwanza, hakuna pesa yoyote serikali inapata kutoka public hospitals. In fact, serikali inaendelea kumwaga pesa humo.

Pili, Nairobi hospital ilijengwa na private money, on private land, and there is no obligation to revert it to the public after a number of years.

Tatu, even if GOK built the expressway, Wakenya bado wangelipia in form of more taxes.
 
What should I call you my friend Kunyamen. So there is no need for public transport in Nairobi, why do you have all those stupid old model matatu, still you are dreaming for BRT?[emoji23][emoji23][emoji23]

Wacha kelele. 50% is still close to 4 million Kenyans.
On top of its residents, Nairobi welcomes millions of Kenyans from all over the country per day.
 
Kwanza, hakuna pesa yoyote serikali inapata kutoka public hospitals. In fact, serikali inaendelea kumwaga pesa humo.

Pili, Nairobi hospital ilijengwa na private money, on private land, and there is no obligation to revert it to the public after a number of years.

Tatu, even if GOK built the expressway, Wakenya bado wangelipia in form of more taxes.
Poleni Kama bado Kenyatta Hospital hadi Leo haijiendeshi kwa faida, huku kwetu Sasa hivi Muhimbili Hospital pamoja na kupewa bajeti na serikali, lakini mapato yake ni zaidi ya kile inachopewa toka serikalini, kwahiyo inachangia katika Pato la taifa, tunapokea wagonjwa wengi toka nchi za jirani ambao wanaongeza Sana mapato ya Hospital.

Sijasema Wala kupendekeza kwamba Nairobi Hospital iwe Public Hospital, nilitaka kuonyesha tofauti Kati ya Private vs Public owned projects.

Kwa ufupi ni kwamba, Kuna faida kubwa Sana kwa jamii Kama project ni public owned kuliko PPP au Private owned.
 
Ukweli ni upi Kati ya "Creidible internationally recognized Newspaper na unaosemwa na watu wa mtaani na hapa JF?

Ukweli ni facts. Article inasema nyumba zilibomolewa Mukuru kwa Njenga ili kujengwe expressway. Chukua Google maps yako uangalie kama Expressway imepitia Mukuru kwa Njenga alafu uje unieleze kati ya huyo reporter na mimi nani mkweli. Yani umeze tu utopolo kisa mzungu amesema? Yani hata mzungu akisema jengo la TPA lililobuniwa na Mkenya liko Arusha utakubali tu kisa ni mzungu amesema wakati unaujua ukweli? Halafu mnashinda mkiambia wengine jinsi wanavyoabudu wazungu.
 
Poleni Kama bado Kenyatta Hospital hadi Leo haijiendeshi kwa faida, huku kwetu Sasa hivi Muhimbili Hospital pamoja na kupewa bajeti na serikali, lakini mapato yake ni zaidi ya kile inachopewa toka serikalini, kwahiyo inachangia katika Pato la taifa, tunapokea wagonjwa wengi toka nchi za jirani ambao wanaongeza Sana mapato ya Hospital.

Sijasema Wala kupendekeza kwamba Nairobi Hospital iwe Public Hospital, nilitaka kuonyesha tofauti Kati ya Private vs Public owned projects.

Kwa ufupi ni kwamba, Kuna faida kubwa Sana kwa jamii Kama project ni public owned kuliko PPP au Private owned.
Show us proof Muhimbili hospital makes profit.
 
Ukweli ni facts. Article inasema nyumba zilibomolewa Mukuru kwa Njenga ili kujengwe expressway. Chukua Google maps yako uangalie kama Expressway imepitia Mukuru kwa Njenga alafu uje unieleze kati ya huyo reporter na mimi nani mkweli. Yani umeze tu utopolo kisa mzungu amesema? Yani hata mzungu akisema jengo la TPA lililoniwa na Mkenya liko Arusha utakubali tu kisa ni mzungu amesema wakati unaujua ukweli? Halafu mnashinda mkiambia wengine jinsi wanavyoabudu wazungu.
Kwa hiyo hiyo article yote inapoteza maana kwa kukosea sehemu Moja pekee?, Vipi kuhusu nyumba za watu masikini kubomolewa kupisha ujenzi wa Nairobi Express way, vipi kwamba barabara hiyo itakuwa ni Mali ya Mchina kwa miaka 30 na kwamba watu wengi hawatoweza kuitumia kutokana na umasikini?, Vipi kwamba 45% ya watu Nairobi hutembea kwa miguu?,
 
Kuishi karibu na majengo ya University hakukufanyi kujua zaidi kuliko wageni ambao ni wanafunzi katika hiyo University, punguza ukunya wako
Wacha ubongolala, ng'ang'ana na uswazi za Dar
 
Yani uko na hardware on the same apartment yenye unaishi lakini ushuke upande matatu hadi town urudi ndio uingie hardware kufurahisha some random non-entity on JF.[emoji1787]
Kwahiyo ukiwa na biashara karibu na unapoishi, huna mahitaji mengine?, Huitaji kwenda Hospitalini, sokoni, mahakamani, kununua bidhaa zingine, kutembelea jamaa.

Hivi kule sokoni pale Gikomba, wote wanaishi karibu na soko?, Wote wanaofanya kazi CBD wanaishi hapo hapo CBD, wale mama mboga wote wanaishi karibu na biashara zao?. Kwahiyo Ile Jam hapo Nairobi inayosababishwa na matatu, hao watu wote huenda wapi asubuhi?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa hiyo hiyo article yote inapoteza maana kwa kukosea sehemu Moja pekee?, Vipi kuhusu nyumba za watu masikini kubomolewa kupisha ujenzi wa Nairobi Express way, vipi kwamba barabara hiyo itakuwa ni Mali ya Mchina kwa miaka 30 na kwamba watu wengi hawatoweza kuitumia kutokana na umasikini?, Vipi kwamba 45% ya watu Nairobi hutembea kwa miguu?,
Bongolala, I already told you that hapa Kenya haijalishi wewe ni nani as long as umejenga kwenye road reserve. Whether you've built a multi-billion empire or a shanty kama hizo zenu za Dar wembe ni ule ule as long as umejenga kwenye road reserve. Utabomolewa upende usipinde.

 
Hili jengo ulionalo linaitwa Southfield mall.
Hili jengo ukilipeleka Dar litakua among the top 3 best malls in Dar kiraisi. Hili jengo sio la mtu maskini. Ni watu Wachache Dunia hii, mark my words, sio eneo hili but dunia hii wanaoweza kuafford kujenga jengo kama hili.
Jengo hili lipo kando ya barabara iitwayo Airport South Road. Barabara hii ni part of the larger Eastern bypass Nairobi ambayo tunapoongea sahii, inapanuliwa. Hivi tunapoongea, jengo hili liko earmarked kukula nyundo. Kando na hili jengo, kuna majengo mengi Nairobi ambayo yamekula nyundo ili upanuzi wa barabara ufanyike. It is called the price for development. Ndio maana tunawaambia barabara zinazojengwa Nairobi sahii hazina equal hili eneo. Ubomozi haufanyiki kuumiza maskini bali ni necessary ili maendeleo yafanyike. Kama majengo modern yaliyo approved na City Council na yanayopendeza yanabomolewa Sasa mbona illegal structures zinazoharibu sura ya mji zisibomolewe? Najua mnaumwa mkiona tukibomoa haya makazi duni kisa hayo ndio huwa munakimbilia kila siku mkilemewa mjadala but hivo ndio mambo yako.View attachment 2038895
Maelezo yote hayo jengo lenyewe ndo hili, Fanya urudi tu Turkana ukauze shampoo na liquid soap.
 
Note:
1) 45% ya wakazi wa Nairobi hutembea kwa miguu kwa kukosa nauli ya matatu
2)40% hutumia matatu
3)Hutumia usafiri binafsi
4)0.2% Hutumia train

MY TAKE: Kenya raia wa chini hathaminiki kabisa, vipi hapa JF wakenya wanaifurahia hii barabara ya Mchina ambayo haina faida kwa raia walio wenge?

"Where shall I be this time tomorrow"
By Ngugi wa Thiong'o.
Tony254
Ila hata kama ingekuwa kupisha ujenzi, wangewatafutia hata sehemu ya kuwapeleka kwanza.[emoji848]
 
Bongolala, I already told you that hapa Kenya haijalishi wewe ni nani as long as umejenga kwenye road reserve. Whether you've built a multi-billion empire or a shanty kama hizo zenu za Dar wembe ni ule ule as long as umejenga kwenye road reserve. Utabomolewa upende usipinde.

Now I understand why Ngugi wa Thiong'o wrote "This time Tomorrow" and why he spent almost 50yrs in exile after publishing that book.
 
Umesoma vizuri hiyo "article ya The Guardian?", tatizo ni kubomolewa kwa Nyumba za watu masikini kupiisha ujenzi wa barabara ya watu binafsi"Private road", Kama wangepisha "public road, Hospital, au ujenzi wa huduma yoyote ya jamii yenye kuwasaidia wananchi wa kawaida, hayo ndio yangekua ni maendeleo, huko kwenu mnathamini matajiri zaidi kuliko masikini
Bro kwa kenya ikifika swala la ardhi hawajuagi we maskini au tajiri..
Kifupi maskini wa Kenya wanapigika vilivyo
 
Poleni Kama bado Kenyatta Hospital hadi Leo haijiendeshi kwa faida, huku kwetu Sasa hivi Muhimbili Hospital pamoja na kupewa bajeti na serikali, lakini mapato yake ni zaidi ya kile inachopewa toka serikalini, kwahiyo inachangia katika Pato la taifa, tunapokea wagonjwa wengi toka nchi za jirani ambao wanaongeza Sana mapato ya Hospital.

Sijasema Wala kupendekeza kwamba Nairobi Hospital iwe Public Hospital, nilitaka kuonyesha tofauti Kati ya Private vs Public owned projects.

Kwa ufupi ni kwamba, Kuna faida kubwa Sana kwa jamii Kama project ni public owned kuliko PPP au Private owned.

Poleni kama Tanzania hamna matibabu ya bure.
GOK subdisizes medicine, equipment, procedures etc. Wajawazito huzaa bure kwa mfano.
Equipment kubwa kubwa ambazo TZ mnazipata Muhimbili tu, Kenya zimejaa kila county, na zinaendelea kuongezwa. Pesa ya serikali.

Madaktari wanalipwa na serikali, sio hospitali.

Pesa hospitali inayotengeneza yenyewe ni ya kulipa casual workers na other basic operations.
Ndio maana matibabu inabaki kuwa affordable.
 
Show us proof Muhimbili hospital makes profit.

He doesn't understand things in general.
A profit making hospital should be self-sustaining in the first place.
It should buy its own equipment and pay its own doctors. If the doctors are getting paid by the government for example.

If public hospitals paid their own doctors and nurses from internal funds, they would have shut down decades ago.
 
Poleni kama Tanzania hamna matibabu ya bure.
GOK subdisizes medicine, equipment, procedures etc. Wajawazito huzaa bure kwa mfano.
Equipment kubwa kubwa ambazo TZ mnazipata Muhimbili tu, Kenya zimejaa kila county, na zinaendelea kuongezwa. Pesa ya serikali.

Madaktari wanalipwa na serikali, sio hospitali.

Pesa hospitali inayotengeneza yenyewe ni ya kulipa casual workers na other basic operations.
Ndio maana matibabu inabaki kuwa affordable.
Tanzania ni nchi pekee Africa ambapo wagonjwa wa Cancer hutibiwa bure,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Madaktari wote Tanzania hulipwa na serikali, hata hao casual employees pia hulipwa na serikali, matibabu yote ni bure katika dispensary and Health Centres, maji vijijini ni bure[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
He doesn't understand things in general.
A profit making hospital should be self-sustaining in the first place.
It should buy its own equipment and pay its own doctors. If the doctors are getting paid by the government for example.

If public hospitals paid their own doctors and nurses from internal funds, they would have shut down decades ago.
Hiyo ndio tofauti ya Kenya na Tanzania, that's why Tanzania's public Hospital are better than your Private Hospitals, we have better equipments in our public Hospitals than in Karen and Nairobi Hospitals, that's why we can perform bone marrow transplant and Choclear implants, which are very advanced medical procedures, neither Karen nor Nairobi Hospital can try these. You need to come and learn from us, stop your jealous attitude.
 
Tanzania ni nchi pekee Africa ambapo wagonjwa wa Cancer hutibiwa bure,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Madaktari wote Tanzania hulipwa na serikali, hata hao casual employees pia hulipwa na serikali, matibabu yote ni bure katika dispensary and Health Centres, maji vijijini ni bure[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Free cancer treatment on paper.
Free does not mean accessible.

Hakuna faida ya 'free cancer treatment' kama wagonjwa wanapata waiting list ya mwaka mzima kupata ata radiation machine.
Most of your poor cancer patient hukufa kabla hata ya kufikiwa. The rich ones opt for private hospital.

And by the way, I prefer the Kenyan model. With Ksh500 monthly insurance, NHIF covers your cancer treatment. And you can use this insurance in either private or public hospital.
 
Back
Top Bottom