Ali Nassor Px
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,384
- 3,926
- Thread starter
- #21
🤝🤝🤝Kabsa mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤝🤝🤝Kabsa mkuu
kitu hakina umuhim sana kama unacho ila pia tusilaumiane sanaKuna vijana wana viburi sana mbele ya wazazi wao,wazazi wakifa wanajifa wanauchungu na kulia nyenye nyenye huwa nachukia sana.
Swadakt a kiongozUmuhmu wa mtu huonekana pale asipokuepo
umeandika ukwel mkuu watu uonekana msibani sio kwenye kumlea mgonjwaMtu akiwa anapitia Magumu unabidi usimkimbie you have to wait till final , watu wengi wakisikia Mtu anaumwa Basi wanamkimbia hawataki hata kwenda kumuona na kumjulia Hali
Mbaya zaidi na kubwa kuliko zote ni pale unapomkimbia Mzazi/wazazi or any someone who raised you up
🤝🤝🤝🤝🤝Uko sahihi.
yani sana tu ila tuombe sana yasije yakatukutaKuna mambo yanahuzunisha sana...