Watu msibani na makabulini wanalia na mengi

Watu msibani na makabulini wanalia na mengi

Kuna vijana wana viburi sana mbele ya wazazi wao,wazazi wakifa wanajifa wanauchungu na kulia nyenye nyenye huwa nachukia sana.
kitu hakina umuhim sana kama unacho ila pia tusilaumiane sana
 
Mtu akiwa anapitia Magumu unabidi usimkimbie you have to wait till final , watu wengi wakisikia Mtu anaumwa Basi wanamkimbia hawataki hata kwenda kumuona na kumjulia Hali

Mbaya zaidi na kubwa kuliko zote ni pale unapomkimbia Mzazi/wazazi or any someone who raised you up
umeandika ukwel mkuu watu uonekana msibani sio kwenye kumlea mgonjwa
 
Kwel..kuna jamaa yangu mama yake alikua anaumwa akawa anatuma hela ila ikafika muda mam yake akamwambia uje..jamaa alipanda ndege fasta..alipofika akamuwekea mkono akasema wenzako hawajaja ila kwakua wewe umekuja nakufungulia milango… ndugu zako naifunga…mama akafariki..usiulize nn kilitokea..hawa wazee sio wakuwaacha wakiwa kwenye wkt mgumu
 
Mama yangu alifariki mwaka 1996 nikiwa darasa la kwanza. Nikiikumbuka sura yake na wish nimuone hata dakika moja ningefurahi maisha yangu yote.
 
Back
Top Bottom