Watu nane wafariki dunia baada ya mabasi kugongana Jijini Mwanza Oktoba 22, 2024

Watu nane wafariki dunia baada ya mabasi kugongana Jijini Mwanza Oktoba 22, 2024

Amesema chanzo cha ajali hiyo ni basi la Asante Rabi lilipokuwa likijaribu kulipita gari jingine kabla ya kukutana na basi la Nyehunge na kusababisha ajali hiyo.
Hiyo ameongeza baadaye sana ila kule mwanzo haikuwepo
 
Asante Rabi tu itakuwa ndiyo imesababisha iyo ajari
 
Hawa wapumbavu wataua mpaka siku tutakaposema baaasi. Kuna rafiki yangu yuko TCA anasema akipewa LATRA hutasikia ajali za kipumbavu namna hii.
 
Back
Top Bottom