Watu tisa waliozaliwa na viungo vya ziada na kuishangaza dunia

5/Kangkang

Huyu dogo alizaliwa uso wake ukiwa na sura mbili ukisema ana uso pea mbili pia hujakosea
Ukimwangalia vibaya unaweza kufikiri amevaa kinyago mask ila ndiyo alivyoumbwa
Na sasa keshavuka mwaka mmoja na ushee na anadunda tu
 
4/Unknown
Huyu mtu hajatajwa jina sababu aliomba iwe hivyo kama mnavyojua mgonjwa ana haki zake hospitalini
Mwaka 2010 nchini Marekani njemba moja ilipata shambulio la moyo mara mbili hivyo kulazimika kuita Ambulance
Alipofikishwa hospitali madaktari wakashangaa aliwezaje kuhimili mashambulizi hayo ikawabidi wamfanyie uchunguzi wa ziada
Wakamkuta ana moyo wa ziada...... Ila wakagundua alizaliwa na moyo mmoja ila akiwa mdogo alifanyiwa heterotopic transplant yaani kuwekewa viungo vya maiti ambavyo ni vizima na vinakua na kufanya kazi kwenye mwili mwingine
 
3/Double Dick Dude

Jamaa alizaliwa na uume miwili na kuamua kujiita <Double dick Dude na kupata umaarufu mkubwa na furushi la followers kwenye mitandao ya kijamii haswa Instagram
Sio tu kwamba anazo mbili bali pia zote zinapiga mzigo wa maana hivyo anaweza kuzitumia zote kwa pamoja....... demu ukizubaa shauri yako anatumbukiza mbili !!!
Kila mzigo wake ukichachamaa unafika inchi 7
Hali hii inajulikana kama Diphallia na dunia nzima kuna case takribani 100
..................................................... ... ......

Nyongeza by Lyon Lee

Hii kitu kwa hali ya kawaida umaweza kuona sio jambo la kawaida kutokea lakini hii ndo biolojiaa mkuu/wakuu ...nakumbuka kwenye pita pita yangu nshagawahi kukutana na mtoto wa hali hii ....ni jambo la kawaidaa sana ila kibongo sio sana
Tumezoea kusikia DNA duplication lakin hii inaitwa Penile duplication wengine Diphillic terata .....[emoji4] [emoji4] [emoji4]
Kutokea kwa halii hii ni hasa pindi kijusi (mtoto akiwa tumboni) hasa katika ya siku 23 -25 maarufu kama gestation na endapo kwenye hivi vitu muhimu nazungumzia urethra , bladder ila muhimu ni kwenye kidney aka figo ikitokeaa tu blander bhasi imekula kwa mtoto ....hapa ndo tunaona uwezo wa kijusi cha kiume na kike ....ila nisiwachoshe
Watu wa aina hii wapo wa aina tatu ..
1.Wapo ambao sehemu zinakuwa separate na kila moja inajitegemeaa....zote active
2.wapo ambao moja inakuwa imejiegesha kwa.nyenzake ....hii kwenye study ndo nilishawahi kukutana nayo..
3.wa mwisho moja inakuwepo ila moja ndo active nyingine kama urembo
 
2/Maria De Nazare

Huyu binti amezaliwa miaka 24 iliyopita na bado anadunda tu
Alizaliwa na vichwa viwili vinavyofanya kazi vizuri kabisa yaani kama aina fulani ile ya mnyama mwenye vichwa viwili sijui mnawita dragon
Wazazi wakaamua kumpa jina linalofanana na manaye Yesu Maria wa Nazareth ila usilitaje bure jina la Bikira Maria hivyo huyu anaitwa tu Maria De Nazare badala ya Nazareth
Huyu ni binti wa Kibrazil kiuhalisia ni mapacha walioungana yaani chini ni mtu mmoja ila juu ndo vichwa viwili au tuseme tu mtu mwenye vichwa viwili

Tofauti kabisa na wale akina Maria na Consolata huyu ni mtu mmoja kuanzia chini shingoni hadi miguuni ila ana vichwa viwili ndio maana anahesabika ni mtu mmoja tu
 
1/Hannah Kersey
Huyu nama wa miaka 24 alifanikiwa kujifungua triplets yaani watoto watatu akiwa na miji miwili ya uzazi na kuweka rekodi
Yaani tuseme ana vizazi viwili (uterus) na hali hii inajulikana kama Uterine Didelphys na humtokea mwanamke mmoja kati ya 1,000

.........................................................................
Baadhi ya watu wengine wanaoshangaza Unaweza kufikiri ni photoshop Bibi aliyeota pembe kama Faru Fausta
.
.
.
.
Mwisho
The Bitoz
.................
 
Hawajamuoa huyu? mn mzuri
 
Aaahhh...
Mkuu unafeli sasaa..
Shusha pichaaa.. Picha tafadhali za hizo nyuke mbili[emoji3][emoji3][emoji3]
Unataka kupigia nyeto ?
Nikiweka nitakuwa nimekiuka maadili naweza pigwa ban bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…