Watu tisa waliozaliwa na viungo vya ziada na kuishangaza dunia

Watu tisa waliozaliwa na viungo vya ziada na kuishangaza dunia

Umesiamama pazuri sana.

Profesa Yuval Noah Harari ameelezea vizuri sana katika vitabu vyake "Sapiens: A Brief History of Humankind" na "Homo Deus: A Brief History of Tomorrow" kuhusu dhana nzima ya kuamini kuwepo Mungu kuwa ni jitihada za watu kuziba pengo la ujuzi, kwamba pale ambapo hatujui jibu, watu tuko tayari sana kuziba pengohilo kwa kusema habari za Mungu, halafu tukija kujua, tunamsukuma huyo Mungu kwenye jambo lingine ambalo hatulijui.

Kifupi ni kwamba, watu tunakuwa wagumu sana kusema "sijui jibu, ngoja nitafute jibu".

Kwa hiyo, nikisikia mtu anasema hajui, nafurahi sana.

Kwa maana, ukisema hujui na kutafuta jibu lakweli kwa juhudi, utalipata.

Lakini ukiw ahujui na kusema unajua jibu, jibu ni "kazi ya Mungu", hutakaa upate jibu la kweli.
Nikiwa mdogo bado sijapevuka nilipelekwa kanisani na kubatizwa

Nikiwa shule ya msingi na akili za itoto nikaandikishwa Komunyo ya kwanza
Sasa kwavile napenda kudadisi mambo kuna siku Katekista akatufundisha kuhusu "tunda la mti wa katikati" alipomaliza nokanyoosha mkono na kumuuliza Huyo nyoka amewezaje kuongea lugha ya kuelewana na mwanadamu kiasi cha kumshawishi Hawa ? Alisjindwa kunipa jibu na kusema la kueleweka na kujiumsuma tu kwamba ni suals la smsni na tangu hapo akaanza kunichukia na kanwe hakunipa nafasi ya kumuuliza maswali tena siku zilizofuata

Kitendo hicho kilinifanya nisisome Komunio ya pili/ Kipaimara hadi leo nikiwa tayari mtu mzima maana niliona naoelekeshwaprlekeshwa kama punda
 
Nikiwa mdogo bado sijapevuka nilipelekwa kanisani na kubatizwa

Nikiwa shule ya msingi na akili za itoto nikaandikishwa Komunyo ya kwanza
Sasa kwavile napenda kudadisi mambo kuna siku Katekista akatufundisha kuhusu "tunda la mti wa katikati" alipomaliza nokanyoosha mkono na kumuuliza Huyo nyoka amewezaje kuongea lugha ya kuelewana na mwanadamu kiasi cha kumshawishi Hawa ? Alisjindwa kunipa jibu na kusema la kueleweka na kujiumsuma tu kwamba ni suals la smsni na tangu hapo akaanza kunichukia na kanwe hakunipa nafasi ya kumuuliza maswali tena siku zilizofuata

Kitendo hicho kilinifanya nisisome Komunio ya pili/ Kipaimara hadi leo nikiwa tayari mtu mzima maana niliona naoelekeshwaprlekeshwa kama punda
Unaona sasa?

We unaambiwa eti Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kaamua kuumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kufanyika, licha ya kuweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani kufanyika.

Halafu mabaya yalipotokea (kwa sababu kaumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kutokea) Mungu huyo anakasirika (Mungu anaanzaje kukasirika wakati ana ujuzi wote?) halafu anaangamiza viumbe karibu wote, waliomkosea na ambao hawajamkosea.

Halafu unaambiwa huyo Mungu ana ujuzi wote, uwezo wote, upendo wote na ana haki ya juu sana.

Na watu wanaamini.
 
Soma post /#11 na 26 hadi mwisho
Utaelewa kuhusu ntu kuzaliwa na viungo viwili vya uzazi pia mtoto kuzaliwa na extra DNA
Sawa, ila tunaanzaje kumhusisha mungu na vitu hvyo.. Maana mtoa mada kagusia sijui uumbaji kwa mungu ila hamkosoi.. Je huyu anayeitwa mungu anaweza kuwa chanzo cha yote hayo ikiwa kitaalam imeelezewa hvyo?
 
Sawa, ila tunaanzaje kumhusisha mungu na vitu hvyo.. Maana mtoa mada kagusia sijui uumbaji kwa mungu ila hamkosoi.. Je huyu anayeitwa mungu anaweza kuwa chanzo cha yote hayo ikiwa kitaalam imeelezewa hvyo?
Ukisoma pos yangu hapo juu nimeweka wazi kwamba SIJUI kama Mungu yupo au hayupo

Kuhusu nada mfano mtu kuzaliwa na miguu mitatu zipo sababu za kisayansi ambazo zinajitosheleza
Hivyo mtu akimuhusisha Mungu na suala jilo ni imani yake binafsi tu
 
Ukisoma pos yangu hapo juu nimeweka wazi kwamba SIJUI kama Mungu yupo au hayupo

Kuhusu nada mfano mtu kuzaliwa na miguu mitatu zipo sababu za kisayansi ambazo zinajitosheleza
Hivyo mtu akimuhusisha Mungu na suala jilo ni imani yake binafsi tu
Safi, mungu hayupo ndiyo maana watu kama hao wanazaliwa hvyo.
 
Safi, mungu hayupo ndiyo maana watu kama hao wanazaliwa hvyo.
tapatalk_1532608426419.jpeg
Wapo pia watu wanaozaliwa na vidole sita mkuu yaani suala hili la kwamba ni mpango wa Mungu samtaimu linafikirisha sana
 
Kwahiyo mamnbo yasiyotupendezesha yote tuseme ni kazi ya shetani ?
Kwa sifa wampazo mungu hatupaswi kusema ni ktk kuumba huku.. Wala shetani hausiki bhali ni matokeo tu. Ukiniambia hvyo kwa nn wanazaliwa hvyo nakwambia ni matokeo tu, kama mungu angekuwepo kusingewezekana kuzaliwa watu wenye viungo zaidi au pungufu kwa sifa alizo nazo.. Shetani hayupo..
 
Kwa sifa wampazo mungu hatupaswi kusema ni ktk kuumba huku.. Wala shetani hausiki bhali ni matokeo tu. Ukiniambia hvyo kwa nn wanazaliwa hvyo nakwambia ni matokeo tu, kama mungu angekuwepo kusingewezekana kuzaliwa watu wenye viungo zaidi au pungufu kwa sifa alizo nazo.. Shetani hayupo..
Upo sahihi sana mkuu
Wanasayansi wamegundua ni suala la kisayansi tu mtu kuzaliwa mlemavu au viungo pungufu hutokea hitilafu wakati kiumbe kikiwa tumboni
 
Back
Top Bottom