Watu tisa waliozaliwa na viungo vya ziada na kuishangaza dunia

Watu tisa waliozaliwa na viungo vya ziada na kuishangaza dunia

Siyo miminnataka liweje.

Nakuuliza wewe, kwa nini swali liwe "nani"?

Ukikuta jani lililokauka ipo mlangoni kwako. Mbele kuna uwanja mkubwa. Kwa nini uulize swali la "nani kaweka jani hili hapa?" Wakati swali sahihi linaweza kuwa "Nini kimeweka jani hili hapa?".

Kwa sababu, kama jani limepeperushwa na upepo, swali la "nani kaweka jani hili hapa?" linakuwa si sahihi.

Kwa maana hakuna nani (mtu, mnyama etc) aliyeweka jani hilo pale.

Jani limewekwa na upepo.

Na hata kama jani limewekwa na mtu, swali la nini lina apply bado.

Sasa kwa nini unauliza swali finyu la nani wakati jibublinaweza kutoka kwenye swali la nini?
nilijua tu utajibu utumbo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
nilijua tu utajibu utumbo[emoji23][emoji23][emoji23]
Bila functions za utumbo mwili wako usingeweza kufanya kazi sawa na ungekufa.

Unapenda kuangalia mambo kama simpleton.Ndiyo maana umeshindwa kuupangua "utumbo" wangu.

Unauliza "nani" kwa sababu ubongo wako umejikita kifinyu katika jibu ambalo linatoka kwenye swali la nani.

Wakati jibu linaweza kutoka katika swali la nini.

Hujajibu hoja hii unayoiita utumbo.

Umetukana tu.

Unataka kuelimishana au kutukanana?
 
Umekuna kuharibu thread kwa kumlete huyu mtu asiyeamini uwepo wa Mungu.
Thread nzuri kabisa anaingiza mada zake.
Mbona unaninyanyasa kama mtu asiye na uhuru wa kuleta mada zake JF wakati JF ni ukumbi huru kwetu sote?

Unazichukia mada zangu kwa sababu zinakuonesha ukweli usiotaka kuusikia wala kuweza kuupinga?

Hiyo ndiyo sababu ya chuki yako kwangu?

"Much success to you, evennif you wish me the opposite. Sooner or later we'll all see who the prophet is" - Nas, " Nas Is Like".
 
Umekuna kuharibu thread kwa kumlete huyu mtu asiyeamini uwepo wa Mungu.
Thread nzuri kabisa anaingiza mada zake.
Mbona hakuna tatizo mkuu
Jf ni jukwaa huru na kamwe hakuna thread ambayo itaweza kukupendeza kwa 100%
Kitu kama kinakukera jifunze tu kupotezea maana kinachokukera wewe ndicho kinschowafurahisha wengine
 
Huyo namba9 ndo aliyetoa methali ya shukrani Wa punda ni mateke
Screenshot_2017-07-11-17-40-50.png
Ni # 8 mkuu siyo 9
Maana unamzungumzia George Lipert mwenye miguu mi3 na mioyo miwili
IMG_20180731_101617.jpeg

Ila pia kuna demu alizaliwa na miguu mi4
 

Attachments

  • Screenshot_2017-07-11-17-40-50.png
    Screenshot_2017-07-11-17-40-50.png
    72.4 KB · Views: 25
IMG_20180802_183138.jpeg
Bibi aliyeota pembe kama Faru
 
IMG_20180802_183638.jpeg
Unaweza kufikiri ni photoshop
 
Sijakataa kama inawezekana ana makusudio yake.

Tatizo linakuja mtu anakwambia "ana makusudio yake" halafu hawezi kuyaelezea hayo makusudio ni yapi.

Kusema hivyo si kutoa jibu, ni kukubali kwamba hujui jibu unaungaunga habari tu.

Sasa kwa nini Mungu kaweka weusi na weupe na hali hiyo ikasababisha ubaguzi wa rangi kama alikuwa na uwezo wa kuumba duniaisiyowezekana kuwa na ubaguzi wa rangi?
Mkuu kiranga wewe ni mpagani bila Shaka.
 
Back
Top Bottom