Watu tisa waliozaliwa na viungo vya ziada na kuishangaza dunia

Watu tisa waliozaliwa na viungo vya ziada na kuishangaza dunia

IMG_20180731_101617.jpeg

Huyu demu alizaliwa na miguu minne
 
Mungu huwa hakosei kuumba ?
Mimi sijui na lengo langu siyo kumkosoa Mungu wala kumuhoji bali kuzungumzia kuhusu binadamu waliozaliwa na viungo vya ziada na kuishangaza dunia

Kawaida mtu ana meno 32,miguu miwili,pua moja,mikono miwili,moyo mmoja n.k ila hawa watu viungo vyao vimepitiliza idadi



9/Hazel Jones
d8b33b5dda7df285bc613bea06273108.jpg
2f24682c0af169ea6426dd0363eb50f4.jpg

Demu Huyu alizaliwa na uke pea mbili
Huyu alisumbuliwa na ugonjwa wa kushangaza wakati anakaribia kuvunja ungo na akajikuta anapata hedhi mfululizo kama mvua za masika zinazosumbua wakazi wa mabondeni
Anatokea huko High Wycombe nchini Uingereza
Tatizo lake linajulikana kama Uterus Didelphys yaani pia ana vyumba viwili vya uzazi

Alipoambiwa na daktati kwamba ana uke na vyumba vya uzazi pea mbili akamjibu anajisikia fahari japo atahitaji mtu antoe bikra kote kote (sizungumzii tundu la nyuma......mi simo nasema simo !!QUOTE]
Huyu ukioa unatoa mahari mara mbili mana raha double double
 
Utaweza kumridhisha ?
 
6/Deepak Pastwan
999388084cef572f59b858d892708183.jpg
c06b03585eb6ca6f7b471ecdda264a59.jpg

Huyu ni dogo kutoka familia maskini huko nchini India
Alizaliwa mwaka 2010 akiwa na miguu ya ziada "iliyoota" kifuani
Dogo alizaliwa akiwa na miguu 8 yaani dogo kifuani ana miguu kama matawi ya miti
Wazazi wake hawakuifurahia hali hiyo hivyo kuomba iondolewe maaba mtoto wao alikuwa anadhihakiwa kitaani kuitwa mti unaotembea ila hawakuwa na pesa hivyo hospitali ikawaonea huruma kutokana na umaskini uliowakithiri hivyo kumfanyia upasuaji bure na ukafanikiwa kuiondoa na sasa hivi ana hali ya kawaida tu
kuna mwingine msichana yupo kama hivo...
ila mamake aliambiwa kua alitakiwa kuzaa twins ndomana ikatokea hivo...
 
Kwa sifa wampazo mungu hatupaswi kusema ni ktk kuumba huku.. Wala shetani hausiki bhali ni matokeo tu. Ukiniambia hvyo kwa nn wanazaliwa hvyo nakwambia ni matokeo tu, kama mungu angekuwepo kusingewezekana kuzaliwa watu wenye viungo zaidi au pungufu kwa sifa alizo nazo.. Shetani hayupo..
matokeo ya nini?
 
kuna mwingine msichana yupo kama hivo...
ila mamake aliambiwa kua alitakiwa kuzaa twins ndomana ikatokea hivo...
Huyo msichana sijawahi kumsikia
Ngoja nijaribu kufuatilia habari zake mtandaoni
 
IMG_20180801_105357.jpeg
IMG_20180801_105659.jpeg
IMG_20180801_105426.jpeg

Baadhi ya watu wengine waliozaliwa wakiwa na sura mbili na kuishangaza dunia
 
2/Maria De Nazare
ca548e744faebda2167efc548198da45.jpg
7358fafc025296b80d935d62018af1f7.jpg

Huyu binti amezaliwa miaka 24 iliyopita na bado anadunda tu
Alizaliwa na vichwa viwili vinavyofanya kazi vizuri kabisa yaani kama aina fulani ile ya mnyama mwenye vichwa viwili sijui mnawita dragon
Wazazi wakaamua kumpa jina linalofanana na manaye Yesu Maria wa Nazareth ila usilitaje bure jina la Bikira Maria hivyo huyu anaitwa tu Maria De Nazare badala ya Nazareth
Huyu ni binti wa Kibrazil kiuhalisia ni mapacha walioungana yaani chini ni mtu mmoja ila juu ndo vichwa viwili au tuseme tu mtu mwenye vichwa viwili

Tofauti kabisa na wale akina Maria na Consolata huyu ni mtu mmoja kuanzia chini shingoni hadi miguuni ila ana vichwa viwili ndio maana anahesabika ni mtu mmoja tu
Mkuu hawa wanaongea wote??yani hivyo vichwa vinaongea kama mmoja au wawili??duniani kuna maajabu sana,haya mambo nilikuwa naona kwenye movie tu uongo uongo,kumbe yapo kweli
 
Mkuu hawa wanaongea wote??yani hivyo vichwa vinaongea kama mmoja au wawili??duniani kuna maajabu sana,haya mambo nilikuwa naona kwenye movie tu uongo uongo,kumbe yapo kweli
Huyo ni mtu mmoja mwenye vichwa viwili
Kama unavyoona kwenye picha vichwa vyote vipo sawa kabisa
 
IMG_20180801_113504.jpeg

Huyu alizaliwa na pua mbili
 
unataka liweje?
Siyo mimi nataka liweje.

Nakuuliza wewe, kwa nini swali liwe "nani"?

Ukikuta jani lililokauka lipo mlangoni kwako. Mbele kuna uwanja mkubwa. Kwa nini uulize swali la "nani kaweka jani hili hapa?" Wakati swali sahihi linaweza kuwa "Nini kimeweka jani hili hapa?".

Kwa sababu, kama jani limepeperushwa na upepo, swali la "nani kaweka jani hili hapa?" linakuwa si sahihi.

Kwa maana hakuna nani (mtu, mnyama etc) aliyeweka jani hilo pale.

Jani limewekwa na upepo.

Na hata kama jani limewekwa na mtu, swali la nini lina apply bado.

Sasa kwa nini unauliza swali finyu la nani wakati jibublinaweza kutoka kwenye swali la nini?
 
Last edited:
Back
Top Bottom