Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Aje aone jinsi Mungu wetu alivyomjuzi .Duh we jamaa kweli mchokozi
Kiranga anaoendelea zaidi kubishana kama Mungu yupo au hayupo
Sasa hata atabishania nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aje aone jinsi Mungu wetu alivyomjuzi .Duh we jamaa kweli mchokozi
Kiranga anaoendelea zaidi kubishana kama Mungu yupo au hayupo
Sasa hata atabishania nini
TehtehUmejuaje kama mimi dogo ?
Humu huwa tunaitana tu "mkuu" maana hatujuani
Unazungumziaje sula la hao viumbe kuzaliwa na idadi kubwa ya viungo kuliko kawaida.Mazee unapenda kuona dramatic refutations with bombastic reputation siyo?
Mimi nimeuliza swali dogo tu hapa.
Kuna mtu anaweza kuthibitisha huyo Mungu yupo?
Mpaka leo sijapewa jibu.
Hao hawajaumbwa na Mungu, kama wameumbwa na Mungu basi sisi wengine katupunja.Unazungumziaje sula la hao viumbe kuzaliwa na idadi kubwa ya viungo kuliko kawaida.
Ana makusudio yake kufanya hivyo maana yeye ni mjuzi zaidi ndio maana kuna weupe na weusi ,wafupi na warefu.Hao hawajaumbwa na Mungu, kama wameumbwa na Mungu basi sisi wengine katupunja.
Sasa Mungu gani anapunja wengine na kupendelea wengine?
Sijakataa kama inawezekana ana makusudio yake.Ana makusudio yake kufanya hivyo maana yeye ni mjuzi zaidi ndio maana kuna weupe na weusi ,wafupi na warefu.
Kila kitu kinatokea kwa sababu maalumu , halafu ukae ukijua hapa duniani siyo makazi yetu ,hapa duniani ni njia tu .Sijakataa kama inawezekana ana makusudio yake.
Tatizo linakuja mtu anakwambia "ana makusudio yake" halafu hawezi kuyaelezea hayo makusudio ni yapi.
Kusemahivyo si kutoa jibu, ni kukubali kwamba hujui jibu unaungaunga habari tu.
Sasa kwa nini Mungu kaweka weusi na weupe na hali hiyo ikasababisha ubaguzi wa rangi kama alikuwa na uwezo wa kuumba duniaisiyowezekana kuwa na ubaguzi wa rangi?
Hapa umebifikirisha maana yule bwana mdogo George Lipert kapewa miguu mitatu kana stuli wakati sisi mamilioni tuna miguu miwiliHao hawajaumbwa na Mungu, kama wameumbwa na Mungu basi sisi wengine katupunja.
Sasa Mungu gani anapunja wengine na kupendelea wengine?
Kauli hizo zina matatizo mengi sana.Kila kitu kinatokea kwa sababu maalumu , halafu ukae ukijua hapa duniani siyo makazi yetu ,hapa duniani ni njia tu .
Kwahiyo kama unaamini Mungu yupo, hapo itabidi uulize, Mungu ana ubaguzi kuwapa wengine miguu mitatu na wengine miwili?Hapa umebifikirisha maana yule bwana mdogo George Lipert kapewa miguu mitatu kana stuli wakati sisi mamilioni tuna miguu miwili
dunia ina maajabu2/Maria De Nazare
![]()
![]()
Huyu binti amezaliwa miaka 24 iliyopita na bado anadunda tu
Alizaliwa na vichwa viwili vinavyofanya kazi vizuri kabisa yaani kama aina fulani ile ya mnyama mwenye vichwa viwili sijui mnawita dragon
Wazazi wakaamua kumpa jina linalofanana na manaye Yesu Maria wa Nazareth ila usilitaje bure jina la Bikira Maria hivyo huyu anaitwa tu Maria De Nazare badala ya Nazareth
Huyu ni binti wa Kibrazil kiuhalisia ni mapacha walioungana yaani chini ni mtu mmoja ila juu ndo vichwa viwili au tuseme tu mtu mwenye vichwa viwili
Tofauti kabisa na wale akina Maria na Consolata huyu ni mtu mmoja kuanzia chini shingoni hadi miguuni ila ana vichwa viwili ndio maana anahesabika ni mtu mmoja tu
Umesiamama pazuri sana.Naomba niweke wazi
Mimi sijui kama Mungu yupo au hayupo yaani sipo upande wowote
hahaaaaMungu huwa hakosei kuumba ?
Mimi sijui na lengo langu siyo kumkosoa Mungu wala kumuhoji bali kuzungumzia kuhusu binadamu waliozaliwa na viungo vya ziada na kuishangaza dunia
Kawaida mtu ana meno 32,miguu miwili,pua moja,mikono miwili,moyo mmoja n.k ila hawa watu viungo vyao vimepitiliza idadi
9/Hazel Jones
![]()
![]()
Demu Huyu alizaliwa na uke pea mbili
Huyu alisumbuliwa na ugonjwa wa kushangaza wakati anakaribia kuvunja ungo na akajikuta anapata hedhi mfululizo kama mvua za masika zinazosumbua wakazi wa mabondeni
Anatokea huko High Wycombe nchini Uingereza
Tatizo lake linajulikana kama Uterus Didelphys yaani pia ana vyumba viwili vya uzazi
Alipoambiwa na daktati kwamba ana uke na vyumba vya uzazi pea mbili akamjibu anajisikia fahari japo atahitaji mtu antoe bikra kote kote (sizungumzii tundu la nyuma......mi simo nasema simo !!<