Watu tunasherekea utajiri wa Elon Musk kushuka

Watu tunasherekea utajiri wa Elon Musk kushuka

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Ngebe, nyodo, madharau, majigambo, kiburi, kujiona na kujiinua vimefika ukingoni.

Ni chereko na vifijo.

Elon Musk (Mwafrika Uchwara) mmiliki wa Tesla, Space X na Twitter utajiri wake umeshuka kutoka dollar billion 230 hadi dollars billion 168 na kujikuta kupoteza nafas ya kwanza utajiri duniani. Sasa hivi namba moja ni mfaransa billionaire mstaarab Bernard Arnault akiwa na utajiri wa dollars 172.

Wadau wengi tumepokea hii habari kwa furaha na shangwe. Watu tumefurahi hadi tumepata faraja kwenye umaskini wetu.

Musk alijionaga mungu mtu akidhani dunia ipo mabegani mwake. Na tunaomba utajiri wake uzidi kushuka asiwe hata kumi bora.

Kazaliwa Africa na kukulia Africa lakini hana msaada kwenye bara ilipomfikisha alipo. Watu tunakula mara moja baada ya siku tatu lakini hatukumbuki na hana fadhila.

Bora wote tu tuwe sawa kuwe na uihano.

Furaha ya maskini ni masahibu ya tajiri hasa kufulia.

Maskini Jeuri!

buccaneer Sang'udi
 
Yaani huyu Elon simpendi. Ana nyodo yaani na ile idea yake ya kupandikiza kipichi kwenye ubongo. Stupid kabisa aanze yeye kwanza kupandikizwa. Anajiona yeye ndo yeye na sometimes anaongea ujinga tu. Silipendi hili li baba. Tena ninaomba lishuke na lishuke tena.
 
Yaani huyu Elon simpendi.Ana nyodo yaani na ile idea yake ya kupandikiza kipichi kwenye ubongo.Stupid kabisa aanze yeye kwanza kupandikizwa.Anajiona yeye ndo yeye na sometimes anaongea ujinga tu.Silipendi hili li baba .Tena ninaomba lishuke na lishuke tena.
Yani lishuke kabisa awe sawa na kina vunja bei
 
Yaani huyu Elon simpendi.Ana nyodo yaani na ile idea yake ya kupandikiza kipichi kwenye ubongo.Stupid kabisa aanze yeye kwanza kupandikizwa.Anajiona yeye ndo yeye na sometimes anaongea ujinga tu.Silipendi hili li baba .Tena ninaomba lishuke na lishuke tena.
Hatari sana
 
Yaani huyu Elon simpendi.Ana nyodo yaani na ile idea yake ya kupandikiza kipichi kwenye ubongo.Stupid kabisa aanze yeye kwanza kupandikizwa.Anajiona yeye ndo yeye na sometimes anaongea ujinga tu.Silipendi hili li baba .Tena ninaomba lishuke na lishuke tena.
😂😂😂😂😂
 
Ngebe, nyodo, madharau, majigambo, kiburi, kujiona na kujiinua vimefika ukingoni.

Ni chereko na vifijo.

Elon Musk (Mwafrika Uchwara) mmiliki wa Tesla, Space X na Twitter utajiri wake umeshuka kutoka dollar billion 230 hadi dollars billion 168 na kujikuta kupoteza nafas ya kwanza utajiri duniani. Sasa hivi namba moja ni mfaransa billionaire mstaarab Bernard Arnault akiwa na utajiri wa dollars 172.

Wadau wengi tumepokea hii habari kwa furaha na shangwe. Watu tumefurahi hadi tumepata faraja kwenye umaskini wetu.

Musk alijionaga mungu mtu akidhani dunia ipo mabegani mwake. Na tunaomba utajiri wake uzidi kushuka asiwe hata kumi bora.

Kazaliwa Africa na kukulia Africa lakini hana msaada kwenye bara ilipomfikisha alipo. Watu tunakula mara moja baada ya siku tatu lakini hatukumbuki na hana fadhila.

Bora wote tu tuwe sawa kuwe na uihano.

Furaha ya maskini ni masahibu ya tajiri hasa kufulia.

Maskini Jeuri!
Kusheherekea kushuka utajiri wake wakati bado ana utajiri mkubwa zaidi ya bajeti yetu kwa miaka 7 na zaidi ni kituko.
Anaweza kurudi in case hisa za tesla, twitter na space x zikipanda thamani.
Yule mhindi ambaye alikuwa anashika nafasi ya tatu hajapanda mkuu?
 
Back
Top Bottom