Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha ukitaka akupe aftatu?Na serikali yetu isimruhusu aanzishe Starlink Tanzania. Hatutaki waafrika uchwara.
Wewe na wenzio wote Ni wajingaWadau wengi tumepokea hii habari kwa furaha na shangwe. Watu tumefurahi hadi tumepata faraja kwenye umaskini wetu.
Kipichi ndo nnYaani huyu Elon simpendi.Ana nyodo yaani na ile idea yake ya kupandikiza kipichi kwenye ubongo.Stupid kabisa aanze yeye kwanza kupandikizwa.Anajiona yeye ndo yeye na sometimes anaongea ujinga tu.Silipendi hili li baba .Tena ninaomba lishuke na lishuke tena.
Unamaanisha kina vunja bei na Diamond?Hivi huwa unaamini jarida la forbes eti ndo linajua nani ni tajiri kuliko mwingine. Bila kuwapeleka wao taarifa hawawezi jua utajiri wako. Kuna watu ni matajiri zaidi kuliko hata hao lakini sio watu wa media
Unahisi atakuwa masikini kama ukoo wenu?Ngebe, nyodo, madharau, majigambo, kiburi, kujiona na kujiinua vimefika ukingoni.
Ni chereko na vifijo.
Elon Musk (Mwafrika Uchwara) mmiliki wa Tesla, Space X na Twitter utajiri wake umeshuka kutoka dollar billion 230 hadi dollars billion 168 na kujikuta kupoteza nafas ya kwanza utajiri duniani. Sasa hivi namba moja ni mfaransa billionaire mstaarab Bernard Arnault akiwa na utajiri wa dollars 172.
Wadau wengi tumepokea hii habari kwa furaha na shangwe. Watu tumefurahi hadi tumepata faraja kwenye umaskini wetu.
Musk alijionaga mungu mtu akidhani dunia ipo mabegani mwake. Na tunaomba utajiri wake uzidi kushuka asiwe hata kumi bora.
Kazaliwa Africa na kukulia Africa lakini hana msaada kwenye bara ilipomfikisha alipo. Watu tunakula mara moja baada ya siku tatu lakini hatukumbuki na hana fadhila.
Bora wote tu tuwe sawa kuwe na uihano.
Furaha ya maskini ni masahibu ya tajiri hasa kufulia.
Maskini Jeuri!
Jambo, hadi wewe kweli 😀Yaani huyu Elon simpendi.Ana nyodo yaani na ile idea yake ya kupandikiza kipichi kwenye ubongo.Stupid kabisa aanze yeye kwanza kupandikizwa.Anajiona yeye ndo yeye na sometimes anaongea ujinga tu.Silipendi hili li baba .Tena ninaomba lishuke na lishuke tena.
Daah nimekuelewa sana.Mi nampenda Elon,Kanye napenda watu vichaa vichaa hivi na mabilionea
Hao wanabadilisha mboga labda,kwa level za mtaani kwaoUnamaanisha kina vunja bei na Diamond?
Tulia weweeeJambo, hadi wewe kweli 😀
Hisa zake kwenye Tesla zimeshuka. Na labda akutimiza masharti flan ya Freemason9/10 wanachangamoto ya afya ya akili.
Sina ushahidi wa hilo.Hisa zake kwenye Tesla zimeshuka. Na labda akutimiza masharti flan ya Freemason
Samahani tajiri, akipoteza hizo bilioni kadhaa kwako zinaingia bilioni ngapi? Pili unawezaje kumchukia mtu asiyekufahamu?Tulia weweee