Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Sababu zipi zilizompelekea pato kushuka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani haufahamu kama Elon nae ni mdau wa hiyo kitu..We unavyovuta NGIBA kama KondeBoy utajiri utakua unauota kwenye stimu za kulipiwa
Tembo akikonda hawezi kuwa Kama sungura😂😂😂😂😂Yani lishuke kabisa awe sawa na kina vunja bei
Sidhani kama unafahamu Freemason ni nini ila tatizo mnapenda tu kukariri mambo ya kiswahili swahili na ndio maana watu huku sasa wanalitumia hilo neno kufanya utapeli.Hisa zake kwenye Tesla zimeshuka. Na labda akutimiza masharti flan ya Freemason
Wee endelea tu kutoa kafara ndugu na wapendwa wako. Itafika zamu yako watakunyofoa pumbu.Sidhani kama unafahamu Freemason ni nini ila tatizo mnapenda tu kukariri mambo ya kiswahili swahili na ndio maana watu huku sasa wanalitumia hilo neno kufanya utapeli.
Nenda usome uelewe ni nini na uachane na mambo ya kwenye vijiwe ila kwa kuwa kusoma ni tatizo la watanzania wengi sidhani kama utasoma hivyo utabaki hivyo hivyo ulivyo karirishwa.
Utoto bado unakusumbua na najua huwezi kusoma maanake nyie ni wa kukariri tu.Wee endelea tu kutoa kafara ndugu na wapendwa walo. Itafika zamu yako watakunyofoa pumbu.
Bladinugu
Bora wote tuwe sawa tu.Hata ukifurahia itakusaidia nini kuondokana na umaskini wako
Ngebe, nyodo, madharau, majigambo, kiburi, kujiona na kujiinua vimefika ukingoni.
Ni chereko na vifijo.
Elon Musk (Mwafrika Uchwara) mmiliki wa Tesla, Space X na Twitter utajiri wake umeshuka kutoka dollar billion 230 hadi dollars billion 168 na kujikuta kupoteza nafas ya kwanza utajiri duniani. Sasa hivi namba moja ni mfaransa billionaire mstaarab Bernard Arnault akiwa na utajiri wa dollars 172.
Wadau wengi tumepokea hii habari kwa furaha na shangwe. Watu tumefurahi hadi tumepata faraja kwenye umaskini wetu.
Musk alijionaga mungu mtu akidhani dunia ipo mabegani mwake. Na tunaomba utajiri wake uzidi kushuka asiwe hata kumi bora.
Kazaliwa Africa na kukulia Africa lakini hana msaada kwenye bara ilipomfikisha alipo. Watu tunakula mara moja baada ya siku tatu lakini hatukumbuki na hana fadhila.
Bora wote tu tuwe sawa kuwe na uihano.
Furaha ya maskini ni masahibu ya tajiri hasa kufulia.
Maskini Jeuri!
Aisee, tuna safari ndefu sanaYaani huyu Elon simpendi.Ana nyodo yaani na ile idea yake ya kupandikiza kipichi kwenye ubongo.Stupid kabisa aanze yeye kwanza kupandikizwa.Anajiona yeye ndo yeye na sometimes anaongea ujinga tu.Silipendi hili li baba .Tena ninaomba lishuke na lishuke tena.
🤣🤣🤣ETI MFANO NA MIMI NIMEKUA TAJIRI NDO NIJE NIWASAIDIE MASKINI WA AINA YAKO WE BORA UFE TU
Hahaa hajakupata vizuri huyu mkaldayo anajua ndio wale wale.
Kwa akili hii kufanikiwa itakuwa ndotoBora wote tuwe sawa tu.
Mo na Bakhresa wamekusaidia nini hadi sasa?. Kapime mkojo itakua una shidaNgebe, nyodo, madharau, majigambo, kiburi, kujiona na kujiinua vimefika ukingoni.
Ni chereko na vifijo.
Elon Musk (Mwafrika Uchwara) mmiliki wa Tesla, Space X na Twitter utajiri wake umeshuka kutoka dollar billion 230 hadi dollars billion 168 na kujikuta kupoteza nafas ya kwanza utajiri duniani. Sasa hivi namba moja ni mfaransa billionaire mstaarab Bernard Arnault akiwa na utajiri wa dollars 172.
Wadau wengi tumepokea hii habari kwa furaha na shangwe. Watu tumefurahi hadi tumepata faraja kwenye umaskini wetu.
Musk alijionaga mungu mtu akidhani dunia ipo mabegani mwake. Na tunaomba utajiri wake uzidi kushuka asiwe hata kumi bora.
Kazaliwa Africa na kukulia Africa lakini hana msaada kwenye bara ilipomfikisha alipo. Watu tunakula mara moja baada ya siku tatu lakini hatukumbuki na hana fadhila.
Bora wote tu tuwe sawa kuwe na uihano.
Furaha ya maskini ni masahibu ya tajiri hasa kufulia.
Maskini Jeuri!
Nimekuangalia kwenye nyuzi na comments zako nyingi inaonekana ni mtu wa wivu na Roho mbaya, mfano unavyoserekea musk kushuka inafaida gani kwenye maisha yakoNgebe, nyodo, madharau, majigambo, kiburi, kujiona na kujiinua vimefika ukingoni.
Ni chereko na vifijo.
Elon Musk (Mwafrika Uchwara) mmiliki wa Tesla, Space X na Twitter utajiri wake umeshuka kutoka dollar billion 230 hadi dollars billion 168 na kujikuta kupoteza nafas ya kwanza utajiri duniani. Sasa hivi namba moja ni mfaransa billionaire mstaarab Bernard Arnault akiwa na utajiri wa dollars 172.
Wadau wengi tumepokea hii habari kwa furaha na shangwe. Watu tumefurahi hadi tumepata faraja kwenye umaskini wetu.
Musk alijionaga mungu mtu akidhani dunia ipo mabegani mwake. Na tunaomba utajiri wake uzidi kushuka asiwe hata kumi bora.
Kazaliwa Africa na kukulia Africa lakini hana msaada kwenye bara ilipomfikisha alipo. Watu tunakula mara moja baada ya siku tatu lakini hatukumbuki na hana fadhila.
Bora wote tu tuwe sawa kuwe na uihano.
Furaha ya maskini ni masahibu ya tajiri hasa kufulia.
Maskini Jeuri!
Mimi nataka wote tuwe sawaNimekuangalia kwenye nyuzi na comments zako nyingi inaonekana ni mtu wa wivu na Roho mbaya, mfano unavyoserekea musk kushuka inafaida gani kwenye maisha yako