Watu tunasherekea utajiri wa Elon Musk kushuka

Watu tunasherekea utajiri wa Elon Musk kushuka

Kwa watu tunaoelewa stock exchange market tunajua Elon yupo kwenye pull back session. Siku share zake zikianza kupanda utamkuta kwenye dola bilioni 250. Tek note
 
Hisa zake kwenye Tesla zimeshuka. Na labda akutimiza masharti flan ya Freemason
Sidhani kama unafahamu Freemason ni nini ila tatizo mnapenda tu kukariri mambo ya kiswahili swahili na ndio maana watu huku sasa wanalitumia hilo neno kufanya utapeli.

Nenda usome uelewe ni nini na uachane na mambo ya kwenye vijiwe ila kwa kuwa kusoma ni tatizo la watanzania wengi sidhani kama utasoma hivyo utabaki hivyo hivyo ulivyo karirishwa.
 
Sidhani kama unafahamu Freemason ni nini ila tatizo mnapenda tu kukariri mambo ya kiswahili swahili na ndio maana watu huku sasa wanalitumia hilo neno kufanya utapeli.

Nenda usome uelewe ni nini na uachane na mambo ya kwenye vijiwe ila kwa kuwa kusoma ni tatizo la watanzania wengi sidhani kama utasoma hivyo utabaki hivyo hivyo ulivyo karirishwa.
Wee endelea tu kutoa kafara ndugu na wapendwa wako. Itafika zamu yako watakunyofoa pumbu.

Bladinugu
 
Ngebe, nyodo, madharau, majigambo, kiburi, kujiona na kujiinua vimefika ukingoni.

Ni chereko na vifijo.

Elon Musk (Mwafrika Uchwara) mmiliki wa Tesla, Space X na Twitter utajiri wake umeshuka kutoka dollar billion 230 hadi dollars billion 168 na kujikuta kupoteza nafas ya kwanza utajiri duniani. Sasa hivi namba moja ni mfaransa billionaire mstaarab Bernard Arnault akiwa na utajiri wa dollars 172.

Wadau wengi tumepokea hii habari kwa furaha na shangwe. Watu tumefurahi hadi tumepata faraja kwenye umaskini wetu.

Musk alijionaga mungu mtu akidhani dunia ipo mabegani mwake. Na tunaomba utajiri wake uzidi kushuka asiwe hata kumi bora.

Kazaliwa Africa na kukulia Africa lakini hana msaada kwenye bara ilipomfikisha alipo. Watu tunakula mara moja baada ya siku tatu lakini hatukumbuki na hana fadhila.

Bora wote tu tuwe sawa kuwe na uihano.

Furaha ya maskini ni masahibu ya tajiri hasa kufulia.

Maskini Jeuri!

Akili za kimaskini.
 
Yaani huyu Elon simpendi.Ana nyodo yaani na ile idea yake ya kupandikiza kipichi kwenye ubongo.Stupid kabisa aanze yeye kwanza kupandikizwa.Anajiona yeye ndo yeye na sometimes anaongea ujinga tu.Silipendi hili li baba .Tena ninaomba lishuke na lishuke tena.
Aisee, tuna safari ndefu sana
 
Hivi huwa mnaamini hizo takwimu za forbes!? Huko arabuni kuna mabilionea zaidi ya huyo elon
 
Ngebe, nyodo, madharau, majigambo, kiburi, kujiona na kujiinua vimefika ukingoni.

Ni chereko na vifijo.

Elon Musk (Mwafrika Uchwara) mmiliki wa Tesla, Space X na Twitter utajiri wake umeshuka kutoka dollar billion 230 hadi dollars billion 168 na kujikuta kupoteza nafas ya kwanza utajiri duniani. Sasa hivi namba moja ni mfaransa billionaire mstaarab Bernard Arnault akiwa na utajiri wa dollars 172.

Wadau wengi tumepokea hii habari kwa furaha na shangwe. Watu tumefurahi hadi tumepata faraja kwenye umaskini wetu.

Musk alijionaga mungu mtu akidhani dunia ipo mabegani mwake. Na tunaomba utajiri wake uzidi kushuka asiwe hata kumi bora.

Kazaliwa Africa na kukulia Africa lakini hana msaada kwenye bara ilipomfikisha alipo. Watu tunakula mara moja baada ya siku tatu lakini hatukumbuki na hana fadhila.

Bora wote tu tuwe sawa kuwe na uihano.

Furaha ya maskini ni masahibu ya tajiri hasa kufulia.

Maskini Jeuri!
Mo na Bakhresa wamekusaidia nini hadi sasa?. Kapime mkojo itakua una shida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nicheke kwanza 😂😂😂 huyo jamaa anaweza kurudi pale juu siku yoyote hata kama ni mwakani, alafu furaha yako itakua imemalizika tena 😂😂😂😂 pambania pesa yako angalau ujulikane hata kwenye kata yenu
 
Ngebe, nyodo, madharau, majigambo, kiburi, kujiona na kujiinua vimefika ukingoni.

Ni chereko na vifijo.

Elon Musk (Mwafrika Uchwara) mmiliki wa Tesla, Space X na Twitter utajiri wake umeshuka kutoka dollar billion 230 hadi dollars billion 168 na kujikuta kupoteza nafas ya kwanza utajiri duniani. Sasa hivi namba moja ni mfaransa billionaire mstaarab Bernard Arnault akiwa na utajiri wa dollars 172.

Wadau wengi tumepokea hii habari kwa furaha na shangwe. Watu tumefurahi hadi tumepata faraja kwenye umaskini wetu.

Musk alijionaga mungu mtu akidhani dunia ipo mabegani mwake. Na tunaomba utajiri wake uzidi kushuka asiwe hata kumi bora.

Kazaliwa Africa na kukulia Africa lakini hana msaada kwenye bara ilipomfikisha alipo. Watu tunakula mara moja baada ya siku tatu lakini hatukumbuki na hana fadhila.

Bora wote tu tuwe sawa kuwe na uihano.

Furaha ya maskini ni masahibu ya tajiri hasa kufulia.

Maskini Jeuri!
Nimekuangalia kwenye nyuzi na comments zako nyingi inaonekana ni mtu wa wivu na Roho mbaya, mfano unavyoserekea musk kushuka inafaida gani kwenye maisha yako
 
Nimekuangalia kwenye nyuzi na comments zako nyingi inaonekana ni mtu wa wivu na Roho mbaya, mfano unavyoserekea musk kushuka inafaida gani kwenye maisha yako
Mimi nataka wote tuwe sawa
 
Back
Top Bottom