Watu wa Arusha jamii ya Wameru wana utaratibu mzuri wa Kuwafunda Mabinti zao kuwa Wanawake bora kwenye Familia

Watu wa Arusha jamii ya Wameru wana utaratibu mzuri wa Kuwafunda Mabinti zao kuwa Wanawake bora kwenye Familia

Mweee......we pia una uzoefu nao.

Hata hivyo ni vizuri kuchanganya kabila ili kuleta kizazi bora ktk uzao wako.

Sio mnyachusa unajaza wanyachusa wenzako.
Naishi nao na watu wengi wanawalalamikia.
 
Labda una date na demu tu wa kimeru sio mke , aisee Bora ukaoe mchaga mmachame mtapambana taratibu hadi atakapokuua utakuwa kidogo ulifurahia mahusiano yenu kwenye ndoa lakini sio wameru nimadate nao na nawafahamu ni chenga mno
 
Nipo MERU hapa Tengeru, jamii Nzima ya wameru wanawake ndio wenye sauti na mamlaka kwenye familia zao!!, Hakuna jamii yenye wanawake wahovyo na wenye midomo michafuu Duniani kama wameru.
Hawana heshima,wanawadharau waume zao, wahovyo kuwahi kutokea asee!.
 
Bush dokta ungepewa stori kidogo kuhusu mgogoro wa dayosisi uliotokea huko Meru miaka ya 90 ndo ungejua balaa la wameru hasa hao wanawake zao. Hao viumbe wakikasirika wanakatakata migomba utadhani ndo iliyowakosea. Na daima mkigombana lazima mama mkwe aingilie na kusimama na bintiye. Inakuwa vita mbaya sana dhidi yako. Na kama ni mwanaume dhaifu, binti na mama yake lazima waje kukupa kipigo.
 
Nimeishi huko hadi nikapata Jiko
Utakuwa unapigwa makofi sana wewe, hakuna jamii ya kitanzania tofauti na wao kwa wao wanaweza wakaoa mwanamke mmeru au mwanamke akaolewa na kijana wa wakimeru ni wapuuzi, wajingawajinga, ubinafsi,ujuaji, ukabila ndio kabisa umeota mizizi. Tz Nzima jamii ya hovyoo ni hawa wameru, lugha chafu iwe baba kwa mtoto au mtoto kwa baba hovyoo kabisa. Nipo hapa singisi walipolima LAMI!
 
Declaration of Interest: Mimi nimeoa mmeru Arusha Town.

Pamoja na mapungufu madogo madogo kwenye jamii ya watu wa Arusha bado ni jamii bora sana kama unataka Mke wa kujenga familia na Taifa kwa ujumla.

Ustawi wa Wanao na Ukoo wako ktk Jamii hutegemea sana malezi mazuri kwa Watoto wako kutoka kwa Mama yao. Hii haiwahusu kataa ndoa.

Baada ya kuwa mwenyeji ndani ya Jiji la Arusha na kupata interaction kubwa ninejifunza mambo mengi kuhusu jamii hii. Ni watu wema, watu wazuri.

Bila kusahau Wasichana wao ni wazuri pia. Sema wana ukali kidogo, ni vema ukawavumilia maana ndivyo walivyo na huwezi kubadilisha. Ni sawa na mskuma kupenda sura nyeupe.

Basi bwana wakanisimulia mafunzo wanayopewa wadada wanaotarajiwa kuolewa. Kama ifuatavyo.

1. Mwanamke anajifunza uvumilivu ktk ndoa
2. Mwanamke anajifunza kuongea maneno machache, asijibizane na mumewe.
3. Mwanamke anafundishwa akiambiwa habari zinazohusu mume wake basi azidharau na kuendelea na maisha yake.

5. Mwanamke ni kosa kubwa akitembelewa na Wakwe au ndugu wa Mume kupika maharage, ni jinai kabisa.
6. Binti wa Kimeru akimpa kitu mtu wa heshime apige goti, abonyee kidogo.
7. Ukimpa maji Mune wako au unabeba chakula hakikisha unaweka kwenye sinia au kisosi, sio na mikoni yako umeshika likikombe unampa.

8. Mkimaliza tendo Mwanamke ahakikishe anausafisha mwiko kabla ukoko haujakauka, na Sufuria lioshwe on the spot.

Yapo mengine mazuri wengine mtaongezea

Kaoe mmoja halafu uje kutoa majawabu
 
Mapenzi yenyewe hawajui, zaidi utaambulia kununua k vant na konyagi anywe kila siku..... Hana la maana zaidi ulevi na ndio wauzaji wa nyapu pale SHIVAZII.
Labda una date na demu tu wa kimeru sio mke , aisee Bora ukaoe mchaga mmachame mtapambana taratibu hadi atakapokuua utakuwa kidogo ulifurahia mahusiano yenu kwenye ndoa lakini sio wameru nimadate nao na nawafahamu ni chenga mno
 
Mmeru!?? Mkuu hawa watu ni 🔥 Nina marafiki zangu wameru wao wanasema kabsa nisije kupotea njia nikaanzisha rileshenishipu na mmeru! Utajua haujui
Hamna lolote , Mimi ninaye miaka 18 sasa...matatizo na changamoto ni kawaida tu! Ila hawaonewi😁
 
Mapenzi yenyewe hawajui, zaidi utaambulia kununua k vant na konyagi anywe kila siku..... Hana la maana zaidi ulevi na ndio wauzaji wa nyapu pale SHIVAZII.
Pole kwa kukutana na walevi
 
Siwajui sana lakini inawezekana mkawa mnahukumu jamii za watu kutokana na historia na kuwaharibia watu humu waliokuwa na mahusiano mazuri labda wangefikia hatua ya ndoa, binafsi sioni jamii ambayo imetulia,nikuomba Mungu upate mtu sahihi na si jamii aliyotoka
 
Uzoefu ninao mkubwa sana tena wa miaka 10.Ni jamii ya hovyo sijapata kuona.Jeuri,kiburi,dharau,ugomvi,hasira zisizo za msingi muda wote.Ni wajinga jinga hivi na ubinafsi wa hali ya juu wote.Kuanzia dada zao mpaka kaka zao.
Naripoti toka Tengeru hapa mkuu,najua ninachokisema
Umemaliza yote kunywa Soda kwa Mangi nitakulipia.
 
Back
Top Bottom