Watu wa Arusha mnakula bata wapi?

Uliingia wapi na wapi....??????

Tuanzie hapa....
 
Kama umezoea mademu na viwanja vya Dar na mademu wa dezo ukaenda mkoani unaweza kuishia kupiga punyeto.

Mwaka 2014 nilienda Tanga, siku 4 niliishia kukasirika sana hadi nikaimport mtoto mzuri kutoka Moshi, niliporudi Tanga muda mwingine nikamcheki mdau akanipa connection nikawa najilia vimwana tu.

Mikoani bila connection unaweza kuishia kuzoa matakataka ukajiona mjanja huku washkaji wanakucheki tu.

Arusha nina mademu kama 10, hua nikifika hapo wala hua sihangaiki kabisa.

Arusha hakuna Tinder? Tumia hiyo kuzoa wanafunzi vya chuo mkuu.
 
Dah,hii kweli aiseee,mm sipendi vibovu Bora Nile MTU nisijue anajiuza
 
Picnic nyuma ya sokoine road
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…