Watu wa Arusha mnakula bata wapi?

Wajanja wamezama Mererani kusaka jiwe, subiri hapo hapo ukidhani, Chuga sawa na wanaume wa dar kujaza bar asubuhi hadi jioni akinywa bia moja...
 
Mkuu sehemu za bata A town kuna picnic, annex mrina , pinpoint , na kwa pande za njiro ni double tot pale nane nane
Enzi za shivaz ilikuwa ni balaa ila imefungwa mwaka huu
 
Njoo Mtowambu kijana naamin utaenjoy sana ila hakikisha nauli ya ibaki Arusha ili ukiishiwa hapa Mtoni tutakuombea lifti kwenye magari ya tours kurudi Arusha
 
Upo sawa mkuu na ndo ukweli kabisa
 
Mkuu sehemu za bata A town kuna picnic, annex mrina , pinpoint , na kwa pande za njiro ni double tot pale nane nane
Double tot ni hatari sema pafinyu, The picnic ile karibu na new shivaz? Kule sikanyagi aisee
 
Double tot ni hatari sema pafinyu, The picnic ile karibu na new shivaz? Kule sikanyagi aisee
Old shivaz soon tynaifungua,itakuwa nite club pia na jina litabadilika
Itakuwa poa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…