Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Wajanja wamezama Mererani kusaka jiwe, subiri hapo hapo ukidhani, Chuga sawa na wanaume wa dar kujaza bar asubuhi hadi jioni akinywa bia moja...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu na wewe sio Kiienge juu! ni Kijenge juuNenda kiienge juu kule mbele kidogo ya kanisani utawakuta kama wote kuanzia saa moja na nusu tu,
Ukienda mbele kidogo utakutana na kivuruge guest bei sawa na bure
Njoo piem nikupe namba za demu wakiarabu,yupo sakina aite wenzake wakakupune hapo milestone
Nenda cocorikoMkuu mbona hapa milestone hamna kitu ovyo ovyo hata
Nenda cocoriko
Baada ya hapo unauzia uzoef kama mwaka tena, then unabadili jina inaanza upyaMkuu mbona hapa milestone hamna kitu ovyo ovyo hata
NitakaribiaThanks mkuu, ngoja nitasogea pande hizo...karibu cocoriko hapo baadae
Nenda cocoriko
Kwingine wapiZilipendwa
Mkuu sehemu za bata A town kuna picnic, annex mrina , pinpoint , na kwa pande za njiro ni double tot pale nane naneKwingine wapi
Enzi za shivaz ilikuwa ni balaa ila imefungwa mwaka huuMkuu sehemu za bata A town kuna picnic, annex mrina , pinpoint , na kwa pande za njiro ni double tot pale nane nane
Watu WA arusha mnakula bata wapi jamani au mnataka nirudi na perdiem yangu dar?
Nina siku ya 4 hapa usiku nafanya kazi ya kuhama viwanja Tu Ila sijaona sehem yenye vibe,sehemu yenye wadangaji wazuri na washkaji wala bia wakukufanya utumie hela kidogo,kila nikipelekwa kiwanja kizuri nakuta watu hawazidi hata WA 5 wakati Sisi wengine tushazoea maeneo kama liquid hakuna cha jumatstu WAla weekend vibe Muda wote.
Hebu niambieni kiwanja chenye vibe leo nikavinjari,ni mwiko kurudi na perdiem kituo chako cha kazi,
Kama umezoea mademu na viwanja vya Dar na mademu wa dezo ukaenda mkoani unaweza kuishia kupiga punyeto.
Mwaka 2014 nilienda Tanga, siku 4 niliishia kukasirika sana hadi nikaimport mtoto mzuri kutoka Moshi, niliporudi Tanga muda mwingine nikamcheki mdau akanipa connection nikawa najilia vimwana tu.
Mikoani bila connection unaweza kuishia kuzoa matakataka ukajiona mjanja huku washkaji wanakucheki tu.
Arusha nina mademu kama 10, hua nikifika hapo wala hua sihangaiki kabisa.
Arusha hakuna Tinder? Tumia hiyo kuzoa wanafunzi vya chuo mkuu.
PointsHaijafungwa imehamia mtaa wajirani na palepale ,ni kali balaa ila ndo maeneo ya malaya cheap ,wachafu,wauswazi ,heroine ,wezi na wahuni sugu
Njeree bistro
Double tot ni hatari sema pafinyu, The picnic ile karibu na new shivaz? Kule sikanyagi aiseeMkuu sehemu za bata A town kuna picnic, annex mrina , pinpoint , na kwa pande za njiro ni double tot pale nane nane
Old shivaz soon tynaifungua,itakuwa nite club pia na jina litabadilikaDouble tot ni hatari sema pafinyu, The picnic ile karibu na new shivaz? Kule sikanyagi aisee
Yah picnic pale karibu na new shivazDouble tot ni hatari sema pafinyu, The picnic ile karibu na new shivaz? Kule sikanyagi aisee