Watu wa Arusha mnakula bata wapi?

Old shivaz soon tynaifungua,itakuwa nite club pia na jina litabadilika
Itakuwa poa sana
Haha tatizo pale wale wadada wanaboaaa wanafanya hadi sie wastaarabu tunaogopa ile njia ikishaanza kuingia Giza
 
Kama hela ya bata ipo inamanisha hela ipo mtaani ,msiseme rais kafanya maisha kuwa magumu
 

Ningekushauri uende kambi ya fisi au olmatejoo. Ila naona huu uzi ulikuwa wa muda uliopita
 
Club Cocoriko Kijengejuu,,Shivaz,Matacall bar,Sakinade kule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…