Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
mda wa baridi jioni naomba nije kufanya fujoJioni tunakuwa ndani, nje baridi
note:kufanya fujo zisizoumiza..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mda wa baridi jioni naomba nije kufanya fujoJioni tunakuwa ndani, nje baridi
Mademu wazuri Arusha?
Anatutafuta wadangaji[emoji38][emoji38], yupo serious kweli huyu?
Karibumda wa baridi jioni naomba nije kufanya fujo
note:kufanya fujo zisizoumiza..
Ngoja upigwe ngata na bisibisi ndio utaijua Arusha,wewe jishaue to na huto tu laki twako.Watu WA arusha mnakula bata wapi jamani au mnataka nirudi na perdiem yangu dar?
Nina siku ya 4 hapa usiku nafanya kazi ya kuhama viwanja Tu Ila sijaona sehem yenye vibe,sehemu yenye wadangaji wazuri na washkaji wala bia wakukufanya utumie hela kidogo,kila nikipelekwa kiwanja kizuri nakuta watu hawazidi hata WA 5 wakati Sisi wengine tushazoea maeneo kama liquid hakuna cha jumatstu WAla weekend vibe Muda wote.
Hebu niambieni kiwanja chenye vibe leo nikavinjari,ni mwiko kurudi na perdiem kituo chako cha kazi,
Haijafungwa imehamia mtaa wajirani na palepale ,ni kali balaa ila ndo maeneo ya malaya cheap ,wachafu,wauswazi ,heroine ,wezi na wahuni suguShiverz ilishabaki historia, ilifungwa long time ago mkuu
Ngoja upigwe ngata na bisibisi ndio utaijua Arusha,wewe jishaue to na huto tu laki twako.
KIJENGE MKUU,SIO KUJENGA!Kokoriko kumepoa sana Kwa hizi siku za kawaida tunakuwa watatu tuuu,nilienda Ile ya tripple A nikaenda na Ile ya kujenga tukajikuta tupo WA tatu tuuu lol
😀Nenda kiienge juu kule mbele kidogo ya kanisani utawakuta kama wote kuanzia saa moja na nusu tu,
Ukienda mbele kidogo utakutana na kivuruge guest bei sawa na bure
Tunaifanyia marekebisho kwa sasa,soon tutaifunguashivaz
Karatu patamu Sana kwa bataHata karatu atapelekwa
Ah mi nakuogopa bana 😃😃Mi meenyewe natafuta mdangaji siriazi
Watu WA arusha mnakula bata wapi jamani au mnataka nirudi na perdiem yangu dar?
Nina siku ya 4 hapa usiku nafanya kazi ya kuhama viwanja Tu Ila sijaona sehem yenye vibe,sehemu yenye wadangaji wazuri na washkaji wala bia wakukufanya utumie hela kidogo,kila nikipelekwa kiwanja kizuri nakuta watu hawazidi hata WA 5 wakati Sisi wengine tushazoea maeneo kama liquid hakuna cha jumatstu WAla weekend vibe Muda wote.
Hebu niambieni kiwanja chenye vibe leo nikavinjari,ni mwiko kurudi na perdiem kituo chako cha kazi,
Karatu patamu Sana kwa bata