Watu wa Arusha na haraka zao!

Watu wa Arusha na haraka zao!

Hujafika bila shaka
Huyu mkuu nilimsoma mahali kuwa anawaponda watu wa Dar.
Sasa labda kaanza kuitembelea Arusha, ngoja tusubiri alete ushuhuda wa Dar pia
 
Hossam kikusahihishe na kukupa mwanga kidogo.
1. Ngarenaro kubwa kuliko Arusha.
.....huu ni msemo hutumika kuwadhihaki..
Wairaq/wambulu wanapokuja mjini kwa mara ya kwanza, wanaposimylia husema...kumbe GARENARO ni kubwa kuliko Arusha

2. Boda boda kuwa na haraka na kutoheshimu taa hii ni kweli...nchi nzima na sio Arusha, hivyo tembea uone.

3. Kutoheshimu foleni bank????
Hii sio kweli.

4. Kutokuwa na utaratibu sehemu za huduma kama mgahawani...hapa inaonyesha ulifikia na kula usqahilini.
Nakushauri fika migahawa ya kisasa ujifunze kitu
 
Wapo pia vijana wanaopush Subaru zile zenye makelele sana. Aisee hawa ukimuovertake anakukimbiza bila kujali unaelekea wapi. Hawa nao huwa hawapendi kupitwa hata iweje. Utamuona anakakamaa anakanyaga mafuta hata kama ulikuwa unaelekea Ngaramtoni yeye kwa hasira alizokuwa nazo anasepa hadi Namanga!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
MAMBO NI MENGI MUDA NI MCHACHE CHAPCHAP MWENDO WA NGIRI HAINA KUCHIMBA DAWA HIYO MBELEMBELE YAO
 
Arusha ni republic kamili ukifika lazima uanzishe uzi maana ni ndoto ya wa Tz wengi
Haya tuambie ni mkoa gani Tz Bodaboda ni wastaarabu?
Fujo unazo zisema zipo barabarani hazina ukweli wowote kama kweli zingekuwepo basi kila siku zingeripotiwa ajali mbaya
Millard ayo alikuwa anaripoti ajali kila siku mpaka akazuiwa kwa kuzua taharuki
 
Hujafika bila shaka
Hajafika pale,
si chini ya 15 kwa siku boda wanaingia na kukatwa miguu.ni sekunde tu ili muuza magongo akuletee gongo lako, ndugu walipe laki na kitu, kitanda zaidi ya 50 kwa siku Bado hujala mpk ndugu wakukute pale una deni 700000 ,mil+ hayo nimeyaona mwenyewe ward kibasila pale.
Na haikuwa boda? Ajali ya gari iligeuzwa boda ili nichinjwe mguu wafanye biashara yao.
 
Back
Top Bottom