Watu wa Arusha namuulizia shabiki yule kichaa mbabe yupo wapi?

Watu wa Arusha namuulizia shabiki yule kichaa mbabe yupo wapi?

maishapopote

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2009
Posts
3,408
Reaction score
6,094
Exactly mwaka 1997 nilikua naenda Arusha kwenye kusaidia kibarua nikitokea moshi hapo nilikua form 3..sasa Nikiwa Pale Soko Kuu akaingia Jamaa Mmoja Mrefu Mbavu kweli kweli..kafanana kabisa na Damme wa Sinza kwa mnamjua Enzi zake aisee Jamaa alikua kapasuka kweli halafu ana bonge la Jibisu kiunoni.

Akawa anapita kila banda anataka matunda yaani chochote anachotaka wengine wakawa wanampa wengine hawampi.

Nikauliza nikaambiwa jamaa Likua Jambazi mbaya sana ila wamemloga..ila anajitambua na ni mbabe kweli hao wahuni wenyewe wa Unga ltd, Bagdad kule ngaramtoni..Daraja mbili walikua wanamgwaya

Fast Forward nikamaliza shule nikapangiwa mkoa wa mbali.

Hebu Arushaone pakajimmy na crew yote ya Arusha mniambie SHABIKI Yupo? Na Hali yake ikoje?
 
Exactly mwaka 1997 nilikua naenda Arusha kwenye kusaidia kibarua nikitokea moshi hapo nilikua form 3..sasa Nikiwa Pale Soko Kuu akaingia Jamaa Mmoja Mrefu Mbavu kweli kweli..kafanana kabisa na Damme wa Sinza kwa mnamjua Enzi zake aisee Jamaa alikua kapasuka kweli halafu ana bonge la Jibisu kiunoni.

Akawa anapita kila banda anataka matunda yaani chochote anachotaka wengine wakawa wanampa wengine hawampi.

Nikauliza nikaambiwa jamaa Likua Jambazi mbaya sana ila wamemloga..ila anajitambua na ni mbabe kweli hao wahuni wenyewe wa Unga ltd, Bagdad kule ngaramtoni..Daraja mbili walikua wanamgwaya

Fast Forward nikamaliza shule nikapangiwa mkoa wa mbali.

Hebu Arushaone pakajimmy na crew yote ya Arusha mniambie SHABIKI Yupo? Na Hali yake ikoje?
Yule si alishawahishwa mbinguni na majambazi wa Arusha
 
Exactly mwaka 1997 nilikua naenda Arusha kwenye kusaidia kibarua nikitokea moshi hapo nilikua form 3..sasa Nikiwa Pale Soko Kuu akaingia Jamaa Mmoja Mrefu Mbavu kweli kweli..kafanana kabisa na Damme wa Sinza kwa mnamjua Enzi zake aisee Jamaa alikua kapasuka kweli halafu ana bonge la Jibisu kiunoni.

Akawa anapita kila banda anataka matunda yaani chochote anachotaka wengine wakawa wanampa wengine hawampi.

Nikauliza nikaambiwa jamaa Likua Jambazi mbaya sana ila wamemloga..ila anajitambua na ni mbabe kweli hao wahuni wenyewe wa Unga ltd, Bagdad kule ngaramtoni..Daraja mbili walikua wanamgwaya

Fast Forward nikamaliza shule nikapangiwa mkoa wa mbali.

Hebu Arushaone pakajimmy na crew yote ya Arusha mniambie SHABIKI Yupo? Na Hali yake ikoje?
Yule alikufaga. Alipigwa Shaba hapo friend's corner na askari wa crdb bank..aliileta ubabe akabaka hadharani. Halafu yule alikuwaga na familia kabisa nyumbani. Mke na watoto
 
Yule alikufaga. Alipigwa Shaba hapo friend's corner na askari wa crdb bank..aliileta ubabe akabaka hadharani. Halafu yule alikuwaga na familia kabisa nyumbani. Mke na watoto
Kuna wa moshi naye alikuwaga kichaa, aliwai baka mwanamke adharani mchana kweupe naye ni pande la mtu, then after huyo mwanamke aliye bakwa alijiua kwa depression.......yule kichaa naye alikujaga kuhasiwa akadead.
 
Back
Top Bottom