Watu wa CAF wanaumia Simba ilivyotolewa kwenye mashindano kwa sababu hii

Watu wa CAF wanaumia Simba ilivyotolewa kwenye mashindano kwa sababu hii

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Screenshot_20230429-193815.png


Kama unafuatilia mtandaoni account za CAF champions league, tangia Simba imeanza kufanya vizuri mashindano ya kimataifa, ni kama CAF au wanaoendesha account za CAF wana ushabiki fulani kwa Simba na kama wanaumia hivi inapotolewa

Siongei kishabiki, Hata Yanga nafikiri itakuwa hivyo hivyo wakianza kuzoeleka kwenye mashindano haya

Sababu unajua ni nini? Zipo 3

1. katika timu zote zinazoshiriki mashindano ya CAF, Simba ndio ina mashabiki wengi zaidi mtandaoni, na post za CAF zinazoihusu Simba hupata engagement kubwa kuliko post za timu nyingine

Kuwa na mashabiki wengi kunaifanya mashindano kuwa na uhai, au kuwa na moto 🔥🔥, na nadhani husadia pia kuvutia sponsors zaidi, kumbuka kati ya changamoto zinazokabili mashindano mengi ya Afrika ni kukosa mashabiki (tofauti na UEFA au South America)

2. Kingine ni mashindano haya yamekuwa dominated sana na timu za kiarabu na kuyafanya yaonekana kama mashindano ya Waarabu badala ya Waafrika kiujumla, kuwepo kwa timu kama Simba husaidia kuleta diversity


4. Pia katika club za Sub Sahara zinazoshiriki, nyingi huwa hazina mashabiki wengi uwanjani, achilia mtandaoni, isipokuwa kwa Simba, tuliona jinsi viwanja vya timu kama Horoya, Vipers, Cotton Sports, Mamelodi, hata timu za Shirikisho kama zinazotoka Sub Sahara kama Rivers huwa hazina mashabiki wengi kama timu za Tanzania
 
View attachment 2603973

Kama unafuatilia mtandaoni account za CAF champions league, tangia Simba imeanza kufanya vizuri mashindano ya kimataifa, ni kama CAF au wanaoendesha account za CAF wana ushabiki fulani kwa Simba na kama wanaumia hivi inapotolewa

Siongei kishabiki, Hata Yanga nafikiri itakuwa hivyo hivyo wakianza kuzoeleka kwenye mashindano haya

Sababu unajua ni nini? Zipo 3

1. katika timu zote zinazoshiriki mashindano ya CAF, Simba ndio ina mashabiki wengi zaidi mtandaoni, na post za CAF zinazoihusu Simba hupata engagement kubwa kuliko post za timu nyingine

Kuwa na mashabiki wengi kunaifanya mashindano kuwa na uhai, au kuwa na moto🔥, na nadhani husadia pia kuvutia sponsors zaidi, kumbuka kati ya changamoto zinazokabili mashindano mengi ya Afrika ni kukosa mashabiki (tofauti na UEFA au South America)

2. Kingine ni mashindano haya yamekuwa dominated sana na timu za kiarabu na kuyafanya yaonekana kama mashindano ya Waarabu badala ya Waafrika kiujumla, kuwepo kwa timu kama Simba husaidia kuleta diversity


4. Pia katika club za Sub Sahara zinazoshiriki, nyingi huwa hazina mashabiki wengi uwanjani, achilia mtandaoni, isipokuwa kwa Simba, tuliona jinsi viwanja vya timu kama Horoya, Vipers, Cotton Sports, Mamelodi, hata timu za Shirikisho kama zinazotoka Sub Sahara kama Rivers huwa hazina mashabiki wengi kama timu za Tanzania
Huu ni upumbavu mtupu umeandika hapa, Admin wa CAF ni Mtanzania na ni Simba lialia.

Chukuwa hiyo kama ulikuwa hujui, au muulize Ahmed Ally hadi huwa anatamba kesho watapostiwa na kweli Simba inapostiwa.

Sasa angalia Mamelodi Sundowns watakachowafanya hao Wydad utawaonea huruma.
 
Huu ni upumbavu mtupu umeandika hapa, Admin wa CAF ni Mtanzania na ni Simba lialia.

Chukuwa hiyo kama ulikuwa hujui, au muulize Ahmed Ally hadi huwa anatamba kesho watapostiwa na kweli Simba inapostiwa.

Sasa angalia Mamelodi Sundowns watakachowafanya hao Wydad utawaonea huruma.
Mentality ya Uto huwa haitegemeani na umri wa mtu as long as umekuwa Uto basi kila kitu kitapita kwenye flow moja.

Kipindi Manara amefungiwa mlisema Simba inabebwa na TFF na mlitishia kuandamana kwa mama

Kipindi CAF wamekuja Arusha na Simba ikapewa mualiko na nyie hamkualika, mlisema CAF inaibeba Simba.

Now kwenye ishu ndogo ya kupostiwa (ambayo hata nyinyi mnapostiwa) bado malalamiko ni yale yale "admin wa CAF ni Simba.

Hii Club ina malalamiko sana au ndio kusema Utophobia?
 
Huu ni upumbavu mtupu umeandika hapa, Admin wa CAF ni Mtanzania na ni Simba lialia.

Chukuwa hiyo kama ulikuwa hujui, au muulize Ahmed Ally hadi huwa anatamba kesho watapostiwa na kweli Simba inapostiwa.

Sasa angalia Mamelodi Sundowns watakachowafanya hao Wydad utawaonea huruma.
Huwezi kutofautiana nae kwa hoja bila kutoa lugha chafu na za kuudhi??
 
Mentality ya Uto huwa haitegemeani na umri wa mtu as long as umekuwa Uto basi kila kitu kitapita kwenye flow moja.

Kipindi Manara amefungiwa mlisema Simba inabebwa na TFF na mlitishia kuandamana kwa mama

Kipindi CAF wamekuja Arusha na Simba ikapewa mualiko na nyie hamkualika, mlisema CAF inaibeba Simba.

Now kwenye ishu ndogo ya kupostiwa (ambayo hata nyinyi mnapostiwa) bado malalamiko ni yale yale "admin wa CAF ni Simba.

Hii Club ina malalamiko sana au ndio kusema Utophobia?
Hivi uko serious kweli humjui Admin wa CAF au unaleta ligi za kitoto!?
 
Huu ni upumbavu mtupu umeandika hapa, Admin wa CAF ni Mtanzania na ni Simba lialia.

Chukuwa hiyo kama ulikuwa hujui, au muulize Ahmed Ally hadi huwa anatamba kesho watapostiwa na kweli Simba inapostiwa.

Sasa angalia Mamelodi Sundowns watakachowafanya hao Wydad utawaonea huruma.
KAA CHINI, HUJUI KITU.
 
Back
Top Bottom