Yale mabangaloo tunayaonaga kwenye mapicha-picha Ni ya kina Nani wajemeni??[emoji1787][emoji23]
Unafikiaje kwa mtu mwenye chumba kimoja, anaishi na girlfriend wake, tujifunze kuheshimu faragha za watu.Nyumba za wageni nyingi tayari ni jibu tosha kuwa ndugu hawataki ufikie kwao ndio maana wakatoa mbadala mapema kabisa wa hizo nyumba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuache utani watu wa Dar wengi hawapendi wageni kabisa
Wengi maskini wanaishi kimasikiniTuache utani watu wa Dar wengi hawapendi wageni kabisa
Nimecheka sana, eti chenga zinaanza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo mkiona picha wanazotupia ndugu zenu huko mitandaoni mnaanza kuwasaka nao hawasemi kuwa kazi zao ni udalali.
Mkija chenga zinaanza
Mambizi😝😝😝Nimecheka sana, eti chenga zinaanza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndugu bhana, utasikia eti nimeshashuka hapa kwa Magu njoo unichukue maana nimeazima simu tu yangu ilipotea ndiyo maana sikukupa taarifa kabla. Na mimi nakujibu niko Ukraine kwani hujui kama kuna Vita [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Inategemea mgeni wewe ukija unakaaga muda gani, au unapenda uwe unaulizwa ukija utaondoka lini?Tuache utani watu wa Dar wengi hawapendi wageni kabisa