Watu wa Dar hawapendi wageni

Watu wa Dar hawapendi wageni

Tatizo mkiona picha wanazotupia ndugu zenu huko mitandaoni mnaanza kuwasaka nao hawasemi kuwa kazi zao ni udalali.
Mkija chenga zinaanza
Nimecheka sana, eti chenga zinaanza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndugu bhana, utasikia eti nimeshashuka hapa kwa Magu njoo unichukue maana nimeazima simu tu yangu ilipotea ndiyo maana sikukupa taarifa kabla. Na mimi nakujibu niko Ukraine kwani hujui kama kuna Vita [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nimecheka sana, eti chenga zinaanza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndugu bhana, utasikia eti nimeshashuka hapa kwa Magu njoo unichukue maana nimeazima simu tu yangu ilipotea ndiyo maana sikukupa taarifa kabla. Na mimi nakujibu niko Ukraine kwani hujui kama kuna Vita [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mambizi😝😝😝
 
Back
Top Bottom