Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,348
- 5,841
Ex ni mfumo wa kielectronics ambao mara nyingi hutegemea tanesco wameamkaje siku hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuwa ulimchokoza au kumlazimisha kazi akiwa kachoka.Waniliniga teke La tumbo Mpk leo siwezi kucheka labda kwa imoj 😂
SijaelewaRafiki yake wa kike wa zamani, yani rafiki rafiki au au au ati unasema Nini😁
Watu wakoani bana miaka yako tafadhariWatu dar naomba kuwauliza ivi ex ni nani..?Ni mwanaume/Mwanamke ulielala nae au uliempenda au kuishi nae Kisha mkaachana ndio mnamuita ex..?
Ex wangu fulani Kwa kigezo kipi mpaka awe EX..??
Mtusaidie watu wa mikoani mana wengi hatuelewi 🙏 Hatuna cha kuwalipa ila mkija mkoani kwenye misiba tunawaahidi mtakuwa wa kwanza Kula ili muwahi kurudi dar..
Thread ifungwe, afu we unambie uko wapi......😹Kwa Dar sisi hatuna Ex na hatujawahi kuwa single wala kuwa na mtu, ni vile unavyokuja ndivyo tunavyokupokea.
Aweee, nipo Tegeta "Mahi Diha".Thread ifungwe, afu we unambie uko wapi......😹
Nakupigia nakupigiaaaa ngoja nimalize kumcheki fei miunoooAweee, nipo Tegeta "Mahi Diha".
Ex soldiersBado hujajibu swali.
Rejea mada husika, ""Wanaposema X wanamaanisha nini??""
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Evelyn Chumviii.....Nakupigia nakupigiaaaa ngoja nimalize kumcheki fei miunooo
Pokea simu pokea simu namba inaishia 05 ni mimiEvelyn Chumviii.....
Achana na huyo mpemba, kaishiwa leo, njoo tufanye yetu tu 😀
We utakua umetokea huko FB unaleta pigo za kishamba huku kwa ma great thinker...Jamani tuwe makini sana na vitu kama hivi,
Unaweza kujikuta unaingia kwenye matatizo bila kupenda na ndio shida ya watanzania wengi na inatuponza sana.
Unakuta mtu yupo seriously kabisa anasoma comment yangu badala andike ya kwake 😅