Watu wa Dar mngetamani RC Mtaka ahamie DAR kiangazi au kipindi cha Masika?

Watu wa Dar mngetamani RC Mtaka ahamie DAR kiangazi au kipindi cha Masika?

Aende Rukwa akafungue fursa za uwekezaji na kuuchangamsha Mkoa!!
Umenikumbusha stori moja ya jamaa alikuwa mwajiriwa mpya.. sasa ikatokea ofisini ishu ilitakiwa ipigwe juu kwa juu ila jamaa akakataa na mpango kushindikana. Boss akampongeza sana kijana kwa uzalendo na kutopenda rushwa. Kesho yake sekretari akampa barua ya kuhamishiwa bush ndani ndani ili akalete chachu ya maendeleo.
 
Why tu ♻️ wale wale?,why surnames ni zile zile?hivi nchi imekosa kabisa young graduates ?,teuzi ni majina yale yale yanazunguzushwa as if nchi haina vijana wapya,piga chini wote na anza upya na vijana ,wote above 40yrs ni wazee ,waambie pumzikeni na thanks very much,Urais wangu guy's in uniforms all above 45yrs nitawaondoa na all young graduates kuanzia 20 yrs to 30yrs ndio nitawajiri na kuwapa training ya kutosha,2000 traffic officer's nitawapeleka Botswana 🇧🇼,kule wame prove zero corruption barabarani inawezekana
 
Mkuu wa mkoa wa DAR anayesubiri barua ni Mtaka ambaye kwa sasa yupo Njombe.

Anakuja DAR kuwaondolea changamoto za Mwendokasi, mpangilio mbovu wa biashara na wafanyabishara huku akitumika kuwaweka pamoja wanasiasa wa chama tawala kwa kuondoa makundi.

Anakuja DAR kuanza kukusanya kura za makundi yote hasa ukizingatia hana skendo na anamarafiki upinzani na ndani ya chama.

Hoja kubwa ni lini mnatamani aje kuripoti kazini? Ni kipindi cha Masika au aingie kiangazi?
mi nadhani ajenge mwendokasi huko njombe tujiridhishe na sifa unazomwagia 🐒
 
Naona mtaka unajitangulizia mwenyewe pasi kwa mbele.....ukija dar usisahau kubeba hata debe mbili za viazi kutoka njombe
 
Hili la umalaya ataliweza lakini katika mengine yote Chalamila alianza kuyashindwa hata kabla hajajitambulisha.
Sio kwamba nashabikia but yakuoasa uelewe kuwa biashara ya ukahaba bdio biashara kongwe na biashara ambayo haijawahi kutetereka kwa 75% 3 years consecutively!!
 
... CHANGAMOTO KUBWA YA DAR NI AJIRA NA MDORORO WA UCHUMI!
... TUNAHITAJI VITEGA UCHUMI NA VIWANDA VINGI ... NA SIO MAGENGE YA CHAPATI!
 
Back
Top Bottom