Watu wa Dar: Mshaurini jamaa yangu anakuja Dar kwa mara ya kwanza

Wakuu kuna jamaa yangu yuko safarini kuja Dsm uko kuosha macho kwa Mara ya kwanza,
mshaurini wapi pakupatia michongo ya hela na kumpa tahadhari pia,elimu yake form 4.

Chato kwa sasa.
Aje kwanza kupimwa tezi dume
 
Huyo mtu ni kabila gani? Dar es Salaam watu wanaishi sehemu kwa makabila, wamachinga wako Mbagala, wachaga wako kimara, wamakonde wako msasani, wakurya wako Kitunda
 
Wakuu,

Kuna jamaa yangu yuko safarini kuja Dsm uko kuosha macho kwa Mara ya kwanza.

Mshaurini wapi pakupatia michongo ya hela na kumpa tahadhari pia, elimu yake form 4.

Chato kwa sasa.
Alishawahi kuwatukana wanaume wa dar humu ndani
 
.Aje tuu katika jiji ambalo wanawake wanapenda zile wanazoita ELA
.Huku ambako wavulana wanaagiza chips kisha baadae wanafakamia mihogo mibichi ili kulinda heshima
.aje tu huku ambako mahindi ya kuchoma hupakwa pilipili na Bizari
. Aje tu ila ajitahidi kuvumilia akikutana na Mwajuma amechomekea dela kwenye pichu
 
Huyo mtu ni kabila gani? Dar es Salaam watu wanaishi sehemu kwa makabila, wamachinga wako Mbagala, wachaga wako kimara, wamakonde wako msasani, wakurya wako Kitunda
Mkuu huyu jamaa ni msukuma wa chattle
 
''...........Kuna jamaa yangu yuko safarini kuja Dsm uko kuosha macho kwa Mara ya kwanza.''

ukisema huyo jamaa ni wewe juna shida gani mkuuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Sio Mimi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…